OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Uefa ya bonyokwa ama buza au😂😂😂Hongera sana sisi Liverpool kwa kubeba uefa
Uefa ya bonyokwa ama buza au😂😂😂Hongera sana sisi Liverpool kwa kubeba uefa
Dah 51k yote hiyo umelipa na bado kipigo umepata, kweli wife siyo mtu mzuri, pole Sana mkuu☹️☹️Wadau hivi hii mechi nikilipia kifurushi cha Compact DSTV 51,000 nitaiona kweli? Wife kagoma nisitoke hajiskii vizuri
It's over now😂😂😂😂You Will Never Walk Alone
Karibu sana wadau mfurahie soka
It's over until it's over until last whistle.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Raha sana leo,Ubingwa wa 7 unakuja
View attachment 2242630
Hatimaye mumelabuliwa🤣🤣🤣🤣🤣Manyang'au mmepiga kambi hapa, ila mtanyooka
Sisi ndio the kops wenyewe
Hatuogopi mjinga mjinga yeyote,tunalabua tu
Mtalimia meno mnawaambia leo-In magufuli voice
Mlishatia muchanga kitumbua Cha watu ninyi kunguni Ni noma🤣🤣🤣😂😂Hili bango leo linabadilika, mpaka ikifika saa 23:50 litasomeka hivi:
IMAGINE BEING ASSView attachment 2242427
Huu Ni uchawiKubanduliwa lazima
Mamluki hamkosekani, kweli hii timu ilisagiwa kunguni haswa😂😂😂🤣🤣Halla Madrid..
Wenye chama letu tujuane mapema
Pole Sana mkuu mumekutana na kitu kizito ..tukutane Tena nest sezon ..huu msimu mulijihakikishia ushindi kabla ya mechi ..lakini siyo kila mechi Ni ya kushinda.😀😀😀View attachment 2242096
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Class act.
Elite.
Fabulous
Best from UK
Simply the best.
7th is loading big time. May the winning angels be with us.
YNWA
Vini Kama Vin Jr ...Waliverpool hawatamsahau kijana huyu kutoka Tukuyu mbeya😂😂😂😂
Kuna Siku utanijua chiefSisajuaga kabisa unashabikia tim gani, maana Arsenal, Liverpool, Chelsea, Man city, Man u huwa unaziponda fulani hivi, mkuu au unashabikia Norwich?![]()

Huyu Gerald anamsagia Klopp kunguni kimya kimya, kwanza kashindwa kumsaidia awe bingwa EPL, halafu anapiga naye picha ..hii inatupa picha next kocha wa liverkuku atakuwa Ni huyu jamaa ..Klopp awe makini atapinduliwa soon
Serious,
Nini kimewakuta sasaa mkuu😂😂😂View attachment 2239111
Ila mpira jamani yaaani tazama kikosi cha Carlo Ac Milan kilivyosheheni wachezaji wa nguvu sana lakini Liverpool wenye kiu ajabu wenye kujituma vilivyo wakashangaza dunia.
Hii ndio raha ya Liverpool kwamba never say never. And Never Say Die.
YNWA
Wachezsji wa liver Jana walilala na viatu

Fainal mbili unapoteza mbele ya Madirid. Hata ile ya 2019 vs Spurs ungekutana na opponent mgumu ingekuwa habari nyingine. Ninyi siyo fainal materials, hamuwezi kuamua ushindi ndani ya dkk 90.
Madrid kazigonga timu 3 za England kwenye UEFA mSimu huu,Tukubali tu.Real Madrid kwenye haya mashindano ni giant, Ki technique yuko vizuri jumlisha timu za Spain bado ni bora kulinganisha na timu za England.
.Hakuna cha bahati wala porojo nyingine hapo.
Naam,Ile game yetu vs Madirid pale bernabeu ndio ilikuwa fainali.
Hii ya Jana Madirid walienda kukamilisha ratiba tu.

