Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mzee haya mambo sometimes hua ni bahati tu
Mpira tumecheza haswa,tumeshambulia, tumekosa magoli sio kizembe ni bahati tu ilikua upande wao, sijaona mapungufu ya timu kwa ujumla

Madrid wamepata nafasi moja ikawa goli, sisi tumepata nafasi kibao ila hatukua na bahati ya kupata goli
Bahati ndo kitu gani? Watu wanakaza makalio wewe unaita bahati
 
Media za uingereza bana " Liverpool is the best team in the world"labda best makalio

Fala Sana ,hao mbwa ndio wanasababisha mnachapika kama mbwa Koko ....
 
Mzee haya mambo sometimes hua ni bahati tu
Mpira tumecheza haswa,tumeshambulia, tumekosa magoli sio kizembe ni bahati tu ilikua upande wao, sijaona mapungufu ya timu kwa ujumla

Madrid wamepata nafasi moja ikawa goli, sisi tumepata nafasi kibao ila hatukua na bahati ya kupata goli
Tukamwombe msamaha Magwaya....
20220529_091625.jpg
 
Don't underrate yourself dude penalty hazina mwenyewe remember you played two finals and on those two finals Liverpool failed to score a single goal against Chelsea katika open play.
Unajua hizi mbanga baada ya kutupiga zile final mbili Basi wakajua kila kitu Ni maji Basi kazi Yao Ni kunywa tu ..Sasa Jana wamekutana na sifongo😂😂(kamulize Yesu sifongo Ni Nini) hahahaha
 
Fainali tatu hakuna goli hata moja.Inafikirisha kidogo kuhusu attacking ya Liverpool.
Ndio maana tunasema hii liver haikuwa Ni fainali materials Basi tu penalties hazina mwenyewe ..kwa maana tukiangalia two finals vs Chelsea, Basi liver ana wachezaji wenye uwezo wa kubadili matokeo muda wowote ule ..tofauti na Chelsea yenye Pulisic naa Ziyech ambao sio game changer ..but matokeo tunaona liver anashinda kwa penalties. Ndani ya dkk 90 uwanjani haziwatoshi kuamua kuwa mabingwa.

Sasa Jana wamekutana na experienced players wenye kujua Nini maana ya kuitumia nafasi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom