Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hili bango leo linabadilika, mpaka ikifika saa 23:50 litasomeka hivi:

IMAGINE BEING ASS
Screenshot_20220528_180325.jpg
 
Huyu anachofanya anajiharibia mwenyewe ,hakuna timu kubwa ulaya inaweza kumpa mkataba fala kama huyu ambaye yupo tayari kuuza game Kwa sababu ya Liverpool

Ataendelea tu kufundisha vilabu vidogo vidogo na anapoelekea ni kubaya Sana ,!!

Maana hata huko liverpool kwenyewe anaweza asipate huo umanager anaotafuta Kwa mbinde ...!
Game gani aliyouza?yaan kuwakazia ndio kuuza game?hiyo bhang achana nayo
 
Washabiki wa madrid wa kukod mna maneno nyie, hata hao madrid wanajua kuwa hawakutani na bilbao
Uko sahihi kabisa wala hujakosea sisi nimashabiki wa kukodi wa Madrid,tunawaombea mabaya Liverpool, nalazima mchinjwe leo hamponi.
 
Jamani channel gani ndani ya king'amuzi cha azam inaonyesha game ya Real Madrid na Liverpool?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom