Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mo salah
Screenshot_20220528-132110_1.jpg
 
Fainali ya leo hamchezi na spurs nataka niwakumbushe msije mkawa namatumaini makubwa sana leo mnakutana na gwiji wa haya mashindano, leo mnalala na viatu, mnywe maji mengi.
Mtalimia meno,madrid wanakula 3,mapema sanaaa
 
View attachment 2242096

😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Class act.
Elite.
Fabulous
Best from UK
Simply the best.

7th is loading big time. May the winning angels be with us.

YNWA
Hapo kwa Manchester United hapo kikwazo kikubwa cha yeye kuwa na UCL tatu ni Pep Guardiola kumbuka final ya 2009/2010 pamoja na 2011/2012 The same to you mpaka sasa mngekuwa na EPL tatu ila kikwazo kikubwa ni Pep Guardiola na pesa zao za mafuta😀😀😀.
 
View attachment 2242097

😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Na kweli kutangulia sio kufika aisee. Vijana wa Stretford End haoooo Conference League.

YNWA
Man U Watacheza Uropa league.

Westham ndio watacheza conference.
 
Mkuu nikuulize kwanza wewe kocha bora kwako ni yupi?unatumia kigezo gani kujua kocha bora?

Kwa upande wangu ancelot hakuwa kocha bora kwenye hii uefa ya Msimu wa 2021/2022,me sijaona ubora wake wowote.kwa hiyo sisi watu wa mpira tukikisanya kura zetu zote tukipata mshindi ndio kocha bora huyo.

Kinachofanyika ni kwamba kura zinapigwa na watu wa mpira kama wewe kwa hiyo kila mtu kwa mtazamo wake anavyoona nani anafaa kuwa kocha bora kwa mfano kura zinapigwa na makocha wote walioshiriki kwenye hayo mashindano wachague nani anastahili kuwa kocha bora na sio ukichukua kombe tu wewe ndio kocha bora ndio maana kuna kuwa na washindani wengine na sio mmoja.

Sasa kuchukua tuzo na umechukua kombe nikutokana na makocha wengi uliokuwa nao kwenye hiyo ligi wamekukubali wewe ndio unastahili yaani wewe ndio bora.kuchagua nani bora wanaachiwa watu wa mpira kama wewe uchague na sio bodi ya ligi tu ila watu wa mpira ndio wachague. Sasa tunaamini watu wampira hawakosei.

Messi na virgil van dijk kwenye tuzo Za balon d’or Messi alikuwa mchezaji bora wa dunia kwa kumzidi kura 6 tu virgil van dijk. Na kocha bora pia anaweza kushinda kwa kura moja lakini ndio hivyo lazima tukubali ndio bora huyo japo wewe haukubaliani na hivyo.
Mnatumia nguvu nying Sana kumuelimisha MTU ambaye amefunikwa na WIVU wa mafanikio ya klopp kwa kujifanya haujui UKWELI...
 
UEFA CHAMPIONS LEAGUE (UCL) FAINALI LEO NI LEO:

LIVERPOOL VS REAL MADRID saa 4 kamili usiku.

Mambo ya kujua kwa uchache;

1] Kwa mara ya kwanza kabisa timu hizi kukutana kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ilikuwa mwaka 1980. Real Madrid walilala 1 - 0. Shukrani kwa bao la beki Alan Kennedy dakika ya 82. Mkongwe Kenny Daglish wa Liverpool akala kadi nyekundu dakika ya 85.

Na hii ndio mara ya mwisho Real Madrid kupoteza fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Hivyo Liverpool ndio timu ya mwisho kuifunga Real Madrid kwenye fainali ya ligi hiyo.

2] Timu ya mwisho kuifunga Liverpool kwenye UCL, ni Real Madrid mwaka 2018.

3] Timu ya mwisho kumfunga Carlo Ancelotti kwenye fainali ya UCL ni Liverpool. (2005)

4] Timu ya mwisho kumfunga Jurgen Klopp kwenye fainali ya UCL ni Real Madrid. (2018)

5] Fainali ya leo inachezwa kwenye uwanja uitwao Stade de France jijini Paris nchini Ufaransa. Na mara ya kwanza fainali kama hii ilipochezeka, Real Madrid walitwaa taji hilo kwa ushindi wa mabao 3 - 0 dhidi ya Valencia ya Hispania pia. Mara ya pili ilikuwa 2006 na Barcelona walitwaa taji hili kwa kuwafunga Arsenal 2 - 1.

Real Madrid wanarudi tena leo kujaribu kuendeleza wimbi la ushindi kwa timu za Hispania kwenye uwanja huo kila fainali ya UCL ikichezeka hapo.

6] Fainali ya kwanza timu hizi zilipokutana ilichezwa hapo hapo jijini Paris lakini uwanja ni Parc des Princes unaomilikiwa na klabu ya Paris Saint Germain (PSG). Uwanja huu ulikuwa ukitumiwa na timu ya taifa ya Ufaransa na muungano wa timu za Rugby kabla ya Stade de France kutengenezwa na kuanza kutumika 1998 kwenye fainali ya kombe la dunia (France VS Brazil) ambapo ndio uwanja rasmi kwa timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Ufaransa.

7] Leo ni tarehe 28 mwezi Mei. Na mara ya mwisho fainali ya UCL kuchezeka tarehe kama ya leo na mwezi wa leo, ilikuwa mwaka 2016 ambapo Real Madrid walishinda kwa 5 - 3 dhidi ya Atletico Madrid.

Fainali ya mwaka huu ya UCL itakuwa ya kihistoria.
 
Fainali ya leo hamchezi na spurs nataka niwakumbushe msije mkawa namatumaini makubwa sana leo mnakutana na gwiji wa haya mashindano, leo mnalala na viatu, mnywe maji mengi.
Washabiki wa madrid wa kukod mna maneno nyie, hata hao madrid wanajua kuwa hawakutani na bilbao
 
M

Mzee uyo hajikombi,ni mtoto wa liverpool apo ni nyumbani kwake muda wowote anafungua mlango anaingia ndan habishi hodi.
Huyu anachofanya anajiharibia mwenyewe ,hakuna timu kubwa ulaya inaweza kumpa mkataba fala kama huyu ambaye yupo tayari kuuza game Kwa sababu ya Liverpool

Ataendelea tu kufundisha vilabu vidogo vidogo na anapoelekea ni kubaya Sana ,!!

Maana hata huko liverpool kwenyewe anaweza asipate huo umanager anaotafuta Kwa mbinde ...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom