DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,311
- 109,416
Mtu mzima kujisifia umebeba carabao kwapani ni fedhea ya Hali ya juu mnoUmedhibitisha wewe ni dhaifu mbele ya Madirid. Mwaka 2018 ulipigwa ..ukasema una Carius golini ..saivi una Allison na Madirid hii dhaifu amekukula.
Sisi Chelsea tungekuwa na experienced players Kama Modric, Kroos aise huu msimu mungetoka kapa.
FA na CARABAO makombe ya mbuzi.






