BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,908
- 11,728
Maana sahihi ya SCOUSERGerrard ni Kocha wa Aston Villa lakini yuko Paris na Klopp.
Haya maisha bhana!![]()
Maana sahihi ya SCOUSERGerrard ni Kocha wa Aston Villa lakini yuko Paris na Klopp.
Haya maisha bhana!![]()
Alijitahidi last week ila haikuwa bahati yetu.Gerrard ni Kocha wa Aston Villa lakini yuko Paris na Klopp.
Haya maisha bhana! 😅
Leo van dijk anaingia na mfupa wa nguruwe huyo ustazi tamkimbia mwenyewe
Fainali ya leo hamchezi na spurs nataka niwakumbushe msije mkawa namatumaini makubwa sana leo mnakutana na gwiji wa haya mashindano, leo mnalala na viatu, mnywe maji mengi.Leo van dijk anaingia na mfupa wa nguruwe huyo ustazi tamkimbia mwenyewe
Huyo gerrad ni fala TU ,chawa pro max anajikomba kutafuta kazi Liverpool kwa kila namna ...kazi aliyotumwa city kashindwa Sasa anaamua kujionesha waziwazi kuwa alikuwa kapewa mbinu na kloop mbwa huyoGerrard ni Kocha wa Aston Villa lakini yuko Paris na Klopp.
Haya maisha bhana!![]()









Mzee uyo hajikombi,ni mtoto wa liverpool apo ni nyumbani kwake muda wowote anafungua mlango anaingia ndan habishi hodi.Huyo gerrad ni fala TU ,chawa pro max anajikomba kutafuta kazi Liverpool kwa kila namna ...kazi aliyotumwa city kashindwa Sasa anaamua kujionesha waziwazi kuwa alikuwa kapewa mbinu na kloop mbwa huyo
Sasa anatafuta huruma kwa mashabiki kwa kujikomba kuenda Paris ....
Mwambie watu hawatafuti kazi hivyo![]()
Mechi kama hii ma legends lazima wawepo kuwapa abc madogoGerrard ni Kocha wa Aston Villa lakini yuko Paris na Klopp.
Haya maisha bhana! 😅
Mkuu mbona hushangai de bruine kupewa tuzo mbele ya mo Salah na Son!!??kilekile kilichotokea kule ndio kimetokea huku.yaani jibu la swali lako lipo hapo,huku unatupigia kelele sisi tuna mambo mengi wewe ushamaliza sisi tuna fainaliMkuu hivi yanga akichukua ubingwa harafu kocha Bora wa msimu hapa NBC premium league anaweza kupewa Pablo kweli ??
Kisa simba imefika robo finali kombe la shirikisho ?
Huyo jamaa anashabikia mpira kwa kuangalia sofascore achana nae.Mkuu mbona hushangai de bruine kupewa tuzo mbele ya mo Salah na Son!!??kilekile kilichotokea kule ndio kimetokea huku.yaani jibu la swali lako lipo hapo,huku unatupigia kelele sisi tuna mambo mengi wewe ushamaliza sisi tuna fainali
Afu watu wapo kimya. Wakati majuzi walitaka kupanga matokeoGerrard ni Kocha wa Aston Villa lakini yuko Paris na Klopp.
Haya maisha bhana! 😅
Kama akianza hii game nitakuwa na amani sana.