Arsenal au Man city akichukua carabao au Fa cup ni Mickey mouse cup lakini Liverpool akichukua Carabao au Fa cup ni makombe makubwa na specialLiver wamekuwa bora sana msimu huu sikutegemea wangeishia kubeba kombe la MAPINDUZI
Tukubali tu.Real Madrid kwenye haya mashindano ni giant, Ki technique yuko vizuri jumlisha timu za Spain bado ni bora kulinganisha na timu za England.Pambaneni na timu zenu,hali zenu ngumu mmejaa humu
Bahati imeangukia kwao, sio kwamba wapo vizuri
Ni ushabiki tu,Usiume.Achana na sisi
Hata Man city,Chelsea,PSG walitakiwa kusema hii kauli lakini Baba ni baba tu. Siyo kwamba bahati imeonekana haikuwa kwa Liverpool kama vile Madrid kufika fainali ameteuliwa Mkuu.Tumecheza mpira mzuri,bahati haikua kwetu
Hongereni SanaHongera sana sisi Liverpool kwa kubeba uefa




ass never walk aloneAcha bwanaLiverpool mnashinda hii mechi

Vip kuhusu astonvilla yake



kashakuwa msemaji wa LiverpoolReal wamechukuwa nadhani ungesema Real wanastahili ila kuja kusema team za Spain ni bora hapo ungeandika team gani hizo bora? Maana ni kama nyingi unasema ni zipi hizo?Tukubali tu.Real Madrid kwenye haya mashindano ni giant, Ki technique yuko vizuri jumlisha timu za Spain bado ni bora kulinganisha na timu za England.
.Hakuna cha bahati wala porojo nyingine hapo.
Uzuri wa mpira mechi ya mwisho ikiisha tu maandalizi ya mwakani yanaanza tunaaumia lakini siku mbili tunasahau tunaanza kujenga team furaha inaanza tena. Kuna watu inabidi waondoke Liver hata Mo kwa sasa kama hataki au Mane ni sawa tu hii ni Liver lazima ijengwe na wachezaji wenye kutaka kubaki katikati lazima tuongeze play maker kijumla msimu haujawa mbaya japo kama team tunataka kushinda kila game. Tujipange next season ambao utakuwa strange season na hii world cup kuingilia league kubwa duniani itakuwa tofauti kwa maana hata maandalizi yatakuwa tofauti sana sijui nini kitatokea je kutakuwa na two pre-season hata sijui itakuwa namna gani na hii kombe lao la dunia.Ndiyo soka wana Liverpool!
Tusivunjike moyo,tuchukue haya makombe mawili na tusonge mbele!
Tunajiandaa sasa na mwakani
Hahahaha maake apo kwanza ncheke ..mulizoea kubeba kupitia penalties hehehe ..Jana mumezingua wenyewe ..looser Ni looser tu ..katika ubora ambao liverkuku ilistahili kushine basi Ni msimu huu maana timu nyingi kubwa zimekuwa zinadema dema Sana ..msimu ujao Ni habari nyingine tena.Ndiyo soka wana Liverpool!
Tusivunjike moyo,tuchukue haya makombe mawili na tusonge mbele!
Tunajiandaa sasa na mwakani
Musitegemee Tena kwa misimu kadhaa apo mbele ..huyu Salah Mane sioni wakiendelea katika ubora wao hii misimu inayofuata. Diaz na Jota Hawa siyo game changer, Jana mumedhibitisha ninyi siyo fainal materials. Kubahatisha kwa penalties ndio kunawabeba, mfano Jana mungetoka bila bila ..Nina uhakika mungebeba kupitia penalties. Dkk 90 uwanjani haziwatoshi kuamua kuwa mabingwa.Kikubwa cha kufurahisha Bado tupo na Klopp, makombe yatakuja tu.