Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kabisa fainali haina mwenyewe inategemea na mind set ya wachezaji watakaopata bahati kucheza, sitegemie kabisaaa tuingie uwanjani kama juzi kule Valencia kipindi cha kwanza yaaani Madrid watatumeza mazimaaaaaaa.

Klopp ana kazi ngumu sana hapo mbele bila shaka amekua akitoka na ushindi kila gemu inayoonekana kua ni ngumu kwetu.

YNWA
Naona Kama EPL inataka kukukimbia hivi ..maana Jana umedrop point mbili vs Spurs na City kafumua mtu tano uko.

UEFA final uko na Madirid na siyo game nyepesi hiyo.
FA final uko na Chelsea na pia ni 50,50 maana kwa Sasa tunachechemea Ila lolote laweza kutokea.

Je, ikitokea umekosa makombe yote matatu utamlaumu Nani? Maana kikosi chenu kwa Sasa kipo 🔥🔥 ..tusubiri tuone msimu huu mutavuna nini.
#CFC💙💙💙
 
View attachment 2212969

😂 😂 😂 😂 😂 Pain killer kumbe mmepigwa juju la Ivory Coast Hahaha Yaaaaaani mtajua hamjui.

Mtakua mnasidikiza aafu haoooo bye bye.....

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hivi yule shabiki mwingine wa Manchester City jamani kafia wapi anamuacha Pain Killer analia mwenyewe.

Mmoja baada ya mwingine mnatulia tuliiii haha yule jamaa yangu wa Chugga alishapowaa sasa hivi tunaongea lugha moja.

YNWA
Hatujapoa mkuu ..tupo tuna wa zoom tu kinamna🤣🤣🤣
Saiv City ikitokea amepoteza na ninyi mukashinda Basi mutakuwa sawa.

Ila ubingwa atabeba yeye kwa idadi ya magoli.
#CFC💙💙💙
 
Kwa hio head to head ya fainali ime balance tumechukua moja na yeye moja sasa twakutana tena kuona nani zaidi.

YNWA

Head-2-Head ya Don Carlos at AC Milan v/s Liverpool
  • 2005 Liverpool Won
  • 2007 AC Milan Won
  • 50/50

Head-2-Head ya Real Madrid v/s Liverpool
  • 1981 Liverpool Won
  • 2018 Real Madrid Won
  • 50/50

Head-2-Head 2022
  • Don Carlos v/s Liverpool
  • Real v/s Liverpool
-Anatafutwa Mbabe sasa 🤔
 
Klopp naomba asikilize maoni yangu, kwa sasa mechi ijayo apuumzishe wachezaji mhim kutokana na mechi ya Villarreal na Tottenham, Wachezaji wamechoka ili tuambulie hata FA na UCL. Kipara kwa sasa kumng'oa pale juu ni kazi aisee.

Pep ameweka Standard mpya ya kuwa ili ubebe EPL ni lazima uwe na uwezo wa kukusanya points 94+ tofauti na kabla yake ambapo points 82 tu unakuwa Bingwa.

Hivyo kutokana na Standard alizoziweka Pep ili uchukue Ubingwa ni lazima mpaka ikifika Januari uwe umemuacha kwa points 7+ kama tulivyofanya mwaka juzi.
Lakini akikupita yeye kwa point 1 tu inakupasa kuusahau Ubingwa.
 
tuachane na ushabiki liverpool wanacheza soka la zaman krosi za kipumbavu kibao yaan whole match krosi na gonga za kuzugia

ebu ichek city wanavyopiga beautifal soccer yaan ni burudan tosha kuichek city wakicheza kabumbu tatizo guardiola much know sana km sane kampany yaya toure wangekuwepo kikosin adi leo nakuapia real madrid angechezea sita fodrn bado grealish bado strealing kasi imepungua
Unatakaa kusema hii liver wamekutana na wakati ambao timu nyingi zinasua sua uwanjani?
 
Naona Kama EPL inataka kukukimbia hivi ..maana Jana umedrop point mbili vs Spurs na City kafumua mtu tano uko.

UEFA final uko na Madirid na siyo game nyepesi hiyo.
FA final uko na Chelsea na pia ni 50,50 maana kwa Sasa tunachechemea Ila lolote laweza kutokea.

Je, ikitokea umekosa makombe yote matatu utamlaumu Nani? Maana kikosi chenu kwa Sasa kipo 🔥🔥 ..tusubiri tuone msimu huu mutavuna nini.
#CFC💙💙💙
Aisee ngumu kumeza lakini kwenye mpira yote yanawezekana kabisa kwamba tukaambulia Carabao tu na nisishangae kabisa.

Kwanza fainali hua haina mwenyewe kabisa inakua open gemu kila mmoja kwa mbinu zake na utayari wa wachezaji anashinda kabisa kombe hivyo tusubiri burudani kwanza fainali FA itakua gemu ngumu japo unasema mnachechemea lakini Liverpool vs Chelsea haijawai kua rahisi na pazuri hata utulivu sasa mtapata kwani mmiliki mpya kashapatikana wamebakisha kuwakilisha seriakalini wajiridhishe hivyo mtapata stability kwa taarifa hizo.

Jana gemu ya Tottenham sijaangalia nitaisaka marudio nione namna gani Conte kaja na mbinu ipi. Baada ya ile sare ya Liverpool vs Manchester City Klopp alihojiwa na kuulizwa anaone aje hizi mbio na alijibu ni ngumu kushinda mechi zote nadhani zilikua zimekua 7 kipindi kile ila akasema atapambana kuwapa burudani mashabiki na pia kuona kama tutakua kwenye mix ya ubingwa na so far vijana mpaka sasa wamejitahidi mno mpaka tulipo msimu huu ni kwa juhudi zao sio rahisi kama tunavyoona sisi mashabiki kucheza fainali kila baada ya siku 3 au 4 na tutegemee ushindi kila gemu ni ngumu.

Nani wa kulaumiwa duuh sioni mchezaji mmoja mmoja wa kumnyooshea kidole jumla ila kuna baadhi ya gemu wachezaji walituangusha kwa mfano Milner gemu yetu kwenu mara mbili anampiga kiatu Pulisc refa akaona ujinga katoa free kick ikapigwa kuokolewa ikatua kwa Kovac mkapata goli la kwanza. Ukipata muda ebu tazama clip za hio gemu utaona.

Sare msimu huu zimekua nyingi kwetu na hizo ndio zimetuangusha tuna sare na Brighton, sare na Brentford, sare na Chelsea, sare na Manchester City, sare na Tottenham hapo mkuu tunakosa pointi 15 za ubishi ama hata 10 ambazo mpaka sasa ingekua ubingwa tunaunusa. Kwenye mbio hizi Pep amekua bora mpaka sasa maana leo na goal difference ameifuta kibishi.
Matokeo ya Everton vs Manchester City nayo yamechangia tulipo kama tukitazama matokeo ya wengine kwenye hizi mbio za EPL.
Kingine ubora wa EPL ni dhahiri ni level zingine ingekua zamani Spurs Anfield alikua hana jibu lake lakini kocha Conte ujue hajampiga Pep kwa kubahatisha wala hajatoa sare kwa kubahatisha mbali ni kwa mbinu.

Ni msimu wa mafanikio kwetu tumepata burudani murwa sana bado tuna gemu 5 mpaka msimu kuisha so let's all enjoy tjis beautiful game.

YNWA
 
Head-2-Head ya Don Carlos at AC Milan v/s Liverpool
  • 2005 Liverpool Won
  • 2007 AC Milan Won
  • 50/50

Head-2-Head ya Real Madrid v/s Liverpool
  • 1981 Liverpool Won
  • 2018 Real Madrid Won
  • 50/50

Head-2-Head 2022
  • Don Carlos v/s Liverpool
  • Real v/s Liverpool
-Anatafutwa Mbabe sasa 🤔
Malaika wa ushindi hakika waegemee kwetu duuh itakua ushindi murwa sanaaaaa.

Stat zimebalance kitimu na kwa walimu hivyo sasa tukutane Paris tujue nani mbabe.

YNWA
 
Screenshot_20220508_223546.jpg


😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Bhana sie tutafunga muda wote ikitokea nafasi.

YNWA
 
Aisee ngumu kumeza lakini kwenye mpira yote yanawezekana kabisa kwamba tukaambulia Carabao tu na nisishangae kabisa.

Kwanza fainali hua haina mwenyewe kabisa inakua open gemu kila mmoja kwa mbinu zake na utayari wa wachezaji anashinda kabisa kombe hivyo tusubiri burudani kwanza fainali FA itakua gemu ngumu japo unasema mnachechemea lakini Liverpool vs Chelsea haijawai kua rahisi na pazuri hata utulivu sasa mtapata kwani mmiliki mpya kashapatikana wamebakisha kuwakilisha seriakalini wajiridhishe hivyo mtapata stability kwa taarifa hizo.

Jana gemu ya Tottenham sijaangalia nitaisaka marudio nione namna gani Conte kaja na mbinu ipi. Baada ya ile sare ya Liverpool vs Manchester City Klopp alihojiwa na kuulizwa anaone aje hizi mbio na alijibu ni ngumu kushinda mechi zote nadhani zilikua zimekua 7 kipindi kile ila akasema atapambana kuwapa burudani mashabiki na pia kuona kama tutakua kwenye mix ya ubingwa na so far vijana mpaka sasa wamejitahidi mno mpaka tulipo msimu huu ni kwa juhudi zao sio rahisi kama tunavyoona sisi mashabiki kucheza fainali kila baada ya siku 3 au 4 na tutegemee ushindi kila gemu ni ngumu.

Nani wa kulaumiwa duuh sioni mchezaji mmoja mmoja wa kumnyooshea kidole jumla ila kuna baadhi ya gemu wachezaji walituangusha kwa mfano Milner gemu yetu kwenu mara mbili anampiga kiatu Pulisc refa akaona ujinga katoa free kick ikapigwa kuokolewa ikatua kwa Kovac mkapata goli la kwanza. Ukipata muda ebu tazama clip za hio gemu utaona.

Sare msimu huu zimekua nyingi kwetu na hizo ndio zimetuangusha tuna sare na Brighton, sare na Brentford, sare na Chelsea, sare na Manchester City, sare na Tottenham hapo mkuu tunakosa pointi 15 za ubishi ama hata 10 ambazo mpaka sasa ingekua ubingwa tunaunusa. Kwenye mbio hizi Pep amekua bora mpaka sasa maana leo na goal difference ameifuta kibishi.
Matokeo ya Everton vs Manchester City nayo yamechangia tulipo kama tukitazama matokeo ya wengine kwenye hizi mbio za EPL.
Kingine ubora wa EPL ni dhahiri ni level zingine ingekua zamani Spurs Anfield alikua hana jibu lake lakini kocha Conte ujue hajampiga Pep kwa kubahatisha wala hajatoa sare kwa kubahatisha mbali ni kwa mbinu.

Ni msimu wa mafanikio kwetu tumepata burudani murwa sana bado tuna gemu 5 mpaka msimu kuisha so let's all enjoy tjis beautiful game.

YNWA
Umeongea kimpira Sana mkuu ..Mimi kwa Sasa mukashinda nitawapongeza na mukipigwa Basi nitawapongeza pia ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom