Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Game na westham ndio tunatangaza ubingwa ,...!Nenda kawape kombe kabisa, hata kuna muda mliwapa kombe manjesta United baadae upepo ukabadilika mkakimbilia kwa chelsea.
Kombe hawezi kupewa mpaka mechi ya mwisho ndio hawawezi kumpa saizi maana mechi bado na hawana uhakika.




