Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nenda kawape kombe kabisa, hata kuna muda mliwapa kombe manjesta United baadae upepo ukabadilika mkakimbilia kwa chelsea.

Kombe hawezi kupewa mpaka mechi ya mwisho ndio hawawezi kumpa saizi maana mechi bado na hawana uhakika.
Game na westham ndio tunatangaza ubingwa ,...!
 
Klopp naomba asikilize maoni yangu, kwa sasa mechi ijayo apuumzishe wachezaji mhim kutokana na mechi ya Villarreal na Tottenham, Wachezaji wamechoka ili tuambulie hata FA na UCL. Kipara kwa sasa kumng'oa pale juu ni kazi aisee.
nalutafuta wee mtu afu sikuoni.
Aririiiiiiiiiiiih, unalo hilooooooh

Woyooooooooooooh
 
Mkuu raundi ya pili ilipokuwa inaanza zilikuwa tofauti ya points 14 mpaka ikabaki 1, na sasa Hivi zimerudi 3,raundi ya 2 tumepata sare 3 wengine wote tumetoa kipigo , hakuna timu iliyofanya hivyo.

Unazungumzia consistency gani Mkuu.kilicho tugarimu ni wachezaji wetu wakutegemewa kuumia.
consistency ndio ilifanya points zikawa 14, baada ya kubaki 1 wenzetu hawatoi tena hata sare mpaka ligi inaisha hata kama ni mechi 7 zimebaki

2019 tuliongoza kwa 10, zikaporomoka poromoka mpaka tukapitwa wakabeba


tukubali kina Mane, Salah , firmino nk hawawezi kukupa kiwango kizuri mechi 35 za EPL wanapokezana kuporomoka na hakuna wa kuwareplace, hii inachangia timu kukosa consistency
 
hii timu mchezaji mwenye consistency ni Allison peke yake, wengine inategemea na walivyoamka ndo maana % kuwa ya mafanikio ya hii timu ni Allison
 
Adjustments.jpg
 
hii timu mchezaji mwenye consistency ni Allison peke yake, wengine inategemea na walivyoamka ndo maana % kuwa ya mafanikio ya hii timu ni Allison

Consistency ipi mnazungumzia ?Na wakati mashindano yote tunachezA fainali,hiyo ligi kuna wakati wachezaji wakutegemewa wanakuwa wameumia tunashindwa kufanya vizuri.
 
B

Bado sana mkuu hii ligi matokeo kupinduka ni mechi moja tu.LIVERPOOL BINGWA na hamta amini.
Hii comment ngoja tuisave,kwa imani hii kweli upepo unaweza badilika.
Ikitimia Wapinzani wetu watalia sana, sijui watajificha wapi 😂😊


Who knows tomorrow😊🙏
 
consistency ndio ilifanya points zikawa 14, baada ya kubaki 1 wenzetu hawatoi tena hata sare mpaka ligi inaisha hata kama ni mechi 7 zimebaki

2019 tuliongoza kwa 10, zikaporomoka poromoka mpaka tukapitwa wakabeba


tukubali kina Mane, Salah , firmino nk hawawezi kukupa kiwango kizuri mechi 35 za EPL wanapokezana kuporomoka na hakuna wa kuwareplace, hii inachangia timu kukosa consistency

Sio kuporomoka kwa kiwango cha wachezaji mkuu,tunacheza fainali makombe yote kiwango gani kimeporomoka?

Kutokufanya vizuri ni baadhi ya wachezaji wetu tegemezi kutokuwepo kutokana na majeruhi ndio tunapoteza mechi mechi tumeshindwa kufunga goli ni dhidi ya leicester tu na salah alikosa penati lakini mechi zote ukiondoa ya Newcastle na Spurs ya jana hiyo zingine tunafunga goli kuanzia mbili.

Acha kukalili angalia mpira,hakuna timu yenye consistency unayotaka wewe na city na wao kuna muda wanapoteza mechi hivyo hivyo ndio maana points zilitoka 14 na kuwa moja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom