Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220508_232756.jpg

🤭 🤭 🤭 🤭 🤭 🤭 🤭 🤭 🤭 🤭

Asanteni kwa kushiriki vijana wa Ethad see you next season.

YNWA
 
Kabisa ndugu inafika mahala unaangalia msimu ulipo unaangalia pia washindani wetu wa jadi kama Manchester United walipo na hakika hata hio nafasi ya pili unasema ni BIG UP JOB WELL DONE.

Nina amani kama zote sababu huu msimu nadhani hata Klopp ameji sapraiz maana hata bookies hawakua na muda na sisi ilikua ni Bayern, Chelsea, PSG, Manchester City kushinda UCL lakini wote hao nje... Ukija EPL ilikua ni Manchester City na Chelsea wanapewa nafasi zaidi lakini hata huyo Manchester City anachezesha wagonjwa akina Dias ili mradi apate ushindi maana kijasho kinamtoka.

YNWA
Mbona hata wewe ni msindikizaji tu kila mtu anajua tarehe 28 ni timu gani inaenda kubeba cl
 
Screenshot_20220508_220711.jpg



Chugga man naona mmiliki wako mpya kumbe ni boss zaidi ya FSG hahaha.

Angalau mnambakisha yule demu wa Roman kwa sasa awape ushauri wa kununua na kuuza na kutoa mikataba atawasaidia.

YNWA
 
Screenshot_20220508_214643_com.android.chrome_edit_25723989977323.jpg


Aiseee alitua Manchester United kushinda EPL maisha haya nyie achane matokeo yake Ole kibarua hukoo maana mfumo ulibadilishwa ku accommodate CR7 na vipigo loss of identity vikaanzia pale.

Lesson.. In life watch your wishes.

YNWA
 
Screenshot_20220508_214815.jpg



Ebu tuwachekee hawa jamaa wametunyanyasa mno tangu mwaka 1992 mpaka 2013 ilikua hatupumui ni wao tu.
Kutesa kwa zamu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

YNWA
 
Screenshot_20220508_214624.jpg


Hiii klabu sasa ina siasa nyingi sana yaaaaani mpaka mkongwe Jose anasema haya ujue kua manager pale Manchester United ni pa motooo balaaa.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom