Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Yaani hadi Kipara mwenyewe amekuwa shocked ila dawa ya maumivu anatuzuga kwamba wapo sawa.Mpaka wakae sawa Liverpool atakuwa anaongoza ligi hahahaView attachment 2212534
Yaani hadi Kipara mwenyewe amekuwa shocked ila dawa ya maumivu anatuzuga kwamba wapo sawa.Mpaka wakae sawa Liverpool atakuwa anaongoza ligi hahahaView attachment 2212534
Le captain hazeeki yaani

Engine yetu ishapata moto haizimiKwa njia waliyopita Madirid kufika fainali kweli wanstahili hili liUEFA ..
ninyi liverpool muna maoni gani?
#CFCView attachment 2212700

Kwani Pep alimfanya nini huyu jamaa?View attachment 2212969
![]()
![]()
![]()
![]()
Pain killer kumbe mmepigwa juju la Ivory Coast Hahaha Yaaaaaani mtajua hamjui.
Mtakua mnasidikiza aafu haoooo bye bye.....
Hivi yule shabiki mwingine wa Manchester City jamani kafia wapi anamuacha Pain Killer analia mwenyewe.
Mmoja baada ya mwingine mnatulia tuliiii haha yule jamaa yangu wa Chugga alishapowaa sasa hivi tunaongea lugha moja.
YNWA
Alikuwa anamnyanyapaa sana aisee.Kwani Pep alimfanya nini huyu jamaa?
Hahahaha bhana hawa tangu wapo Barcelona ni kama walikua na bifu lao alivyotua tena Pep pale Ethad mambo yakawa ndio mambya zaidi sasa Wakala wa Toure hua hana brake ya mdomo akawavuruga sana pale mpaka Kipara akasema Toure ni wa kuodoka matokeo yake sasa wakala wa Toure mwaka 2017 kama sikosei akasema wachawi wa Africa wamekasirika na wamempiga kipapai Pep asishinde tena Uefa kwa sababu ya kumdharau Toure.Kwani Pep alimfanya nini huyu jamaa?
Alimnyanyapaa kwa sababu ya nini?Alikuwa anamnyanyapaa sana aisee.
Chanzo Cha kumnyanyapaa ni nini?Hahahaha bhana hawa tangu wapo Barcelona ni kama walikua na bifu lao alivyotua tena Pep pale Ethad mambo yakawa ndio mambya zaidi sasa Wakala wa Toure hua hana brake ya mdomo akawavuruga sana pale mpaka Kipara akasema Toure ni wa kuodoka matokeo yake sasa wakala wa Toure mwaka 2017 kama sikosei akasema wachawi wa Africa wamekasirika na wamempiga kipapai Pep asishinde tena Uefa kwa sababu ya kumdharau Toure.
YNWA
According to Toure ishu ni kama vile Pep hakuwapenda wachezaji wenye asili ya ki Africa hivyo kumpelekea Toure kukwaruzana nae mpaka kufikia Ethad kutompa mkataba huku bado akiwa na kiwango kizuri tu.Chanzo Cha kumnyanyapaa ni nini?
Rangi,dini au ni nini?
Sidhan Kama inakuhusu,Kwan imekuwa PILAU?ila pia sidhan Kama unazijua ladha ya FAINALI..NIKUELEZE KIDOGO LADHA YA FAINALI ULIBEBE KOMBENaiona fainali isiyo na ladha


Ubaguzi tu, since akiwa Barcelona. Kumbuka ndiye aliyemuuza Toure.Chanzo Cha kumnyanyapaa ni nini?
Rangi,dini au ni nini?
mkuu Nadhan ilikuwa 1981 vs real Madrid pale Paris....1984 ilikuwa ROME OLYMPICO Vs as Roma..Ex Captain Phil Thompson ameshatoa neno juu ya alichowafanya Real Madrid ndani ya Paris 1984.