Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Next season Man City wanaweza kuwa na addition ya Haaland na Pogba na wengine.

Sio siri tumetengeneza Timu kwenye kipindi kibaya na kigumu kwani Pep anazidi kujenga mizizi ya Utawala wake.

Hii ligi ni ya Pep.
Pep kumsajili Pogba ni ngumu mno, kwanza ni toxic player anaweza haribu dressing room, pili, kiufundi ni luxury player hakupi intensity kwenye block zako, na kitu kizuri ni talented player tena World class.
 
Kuna member Tena shabiki wa liverpool mwenye akili timamu ,ana mke na watoto kabisa ,Tena mtaani anaheshimika ,anaitwa baba akiwa nyumbani alisema "Steven Gerrard atatuachia point 3 ili tuchukue ubingwa mbele ya City harafu Aston villa atahakikisha anamfunga city game ya mwisho " huyo jamaa huwa nikimwangalia huwa Kuna namna nahisi dish limeyumba au atakuwa anachet cha milembe kutoka dodoma
Asante
Ila umeninukuu vibaya boss wangu, nilisema gemu na aston villa kwa upande wa man city haitakuwa nyepesi kwa sababu ya Stiv G. J na nina huakika na ninachokisema japo haimaanishi na kwetu itakua nyepesi.

Sikulazimishi kuamini na wala neno langu sio sheria.

NB. Alafu next time sitakua mpole ivi kwenye kukujibu nitakuja kama wewe ulivokuja
 
Adjustments.jpg
 
Aston Villa jumanne nao pia wanajambo lao.
Wanasema mwendo utakua ni uleule kama Spurs.
Mkuu jana niliwakumbuka sana John aneriise,alonso na Stiv G sana..muda mwingine nikutumia makombora tu ya mbali kama vita ya ardhini inakua inaupinzan sana.
 
Next season Man City wanaweza kuwa na addition ya Haaland na Pogba na wengine.

Sio siri tumetengeneza Timu kwenye kipindi kibaya na kigumu kwani Pep anazidi kujenga mizizi ya Utawala wake.

Hii ligi ni ya Pep.
Hakuna kipindi kibaya mkuu,ni jukumu letu kwenda nae jino kwa jino kwenye usajili au tumuache atambe.
Kila timu inauitaji wa wachezaji, tofauti yetu na man city nikuwa sisi kukamilisha maitaj yetu tunachukua muda mrefu sana na maboss wabahili sana.
Man city sio wabahili Pep anapata anachotaka.wachezaji wako sokoni ni mpunga wako kuwapata.

Mchukue Nunez,yule dogo wa monaco alafu na mbadala wa Arnod..hatuitaj wachezaj wengi coz itaj letu linajulikana.

Weka mpunga mezan unapata unachotaka, bania mpunga utapata pia unachotaka.
 
EPL bado sana ile point moja ilikua muhimu sana ni kama liverpool hajapoteza kitu kwasababu bado ni somo lile lile kwa man city kuwa hatakiwi kudrop point ki vyovyote vile

Man city akishinda leo gape ni 3points. Ambazo pia hatakiw kudraw na timu yoyote zilizo baki.cha msingi tushinde zetu ad mwisho alafu mengine tutaona mwisho

IMANI YANGU NI KUBWA SANA KUWA UBINGWA NI WA LIVERPOOL.
 
EPL bado sana ile point moja ilikua muhimu sana ni kama liverpool hajapoteza kitu kwasababu bado ni somo lile lile kwa man city kuwa hatakiwi kudrop point ki vyovyote vile

Man city akishinda leo gape ni 3points. Ambazo pia hatakiw kudraw na timu yoyote zilizo baki.cha msingi tushinde zetu ad mwisho alafu mengine tutaona mwisho

IMANI YANGU NI KUBWA SANA KUWA UBINGWA NI WA LIVERPOOL.
Ikawe hvyo mkuu wangu
 
League bado ila kwa jana sio kwamba team ilicheza vibaya ila kulikuwa na mapungufu kwa key players wetu wawili jana hawakuwa na game nzuri Mo na Mane, nadhani kuna wakati Mo kama anataka kulazimisha touch zake hazikuwa nzuri kwa Mane hakuwa tishio mara nyingi alikuwa anapokea mipira akiwa kaelekea upande wetu hakukuwa na zile turn zake kama kawaida yake lakini hii huwa inatokea na wapinzania walichangia kwenye hili walikuwa hawaachi nafasi na wanajaa karibia watano hakuna space, Kulikuwa na haja ya Origi kuingia badala ya Mo kwa kuwa jamaa walitufanya tutumie sana cross na tunajuwa Origi ndio styke yake inabidi kuwe na plan B kama ile tuliyotumia dhidi ya Everton. Mimi bado na hope sababu hata City anaweza kuachia point japo nafasi yake kubwa kuliko sisi. Kikubwa jana hatukuwa vizuri na hasa Mo na Mane ila Diaz alikuwa super kapigana sana. Ndugu zangu wa Liver tushangilie team yetu game bado.
 
Boss wewe ni mgeni kwenye hizi Threads? Mbona huwajui hata Washabiki maarufu wakati huyo ni Mshabiki wa Arsenal?
Hivi hawa mbwiga mkuu huwa hawana jukwaa la kwao? Mbona wanakuja kujaa huku utafikri la kwao? Huyu jamaa anaudhi mkuu!
 
Nyie liverkuku mna ubora gani mzee mbona mnajiona kama exceptional Sana ,mna Nini nyie

Huna lolote kaa pembeni ,huo upepo si uwachukue na nyie Sasa ,mna cheza Europa na kina villareal ,benefica mnajiona et mnaweza fala Nini ile ndio uefa kama hujui ....na tumetoka semi final ya uefa sio hizo janja janja za Europa league Villarreal ,Jana dunia nzima ilikuwa inamtazama ze cityzen tumetolewa kibabe sawa lakin mpira wetu unaonekana usijfanye wewe sijui unakikosi boraaa mnapita pita njia za panya mnajiona vidume ,aiseee
sasa tushangilie timu gan final
 
Wewe kama una-support mbona ulisikia ku-quote bandiko langu bila kujua nilikuwa naongea na nani? Mpumbavu nini? Kubwa jinga mamako anayeselebuka na vi-ben 10!!
Ulitaka niandikaje we idiot? so tusichangie kitu kisa tutakuudhi we kubwa jinga. Shabiki gani la liverpool boyaboya hivi!
 
tuachane na ushabiki liverpool wanacheza soka la zaman krosi za kipumbavu kibao yaan whole match krosi na gonga za kuzugia

ebu ichek city wanavyopiga beautifal soccer yaan ni burudan tosha kuichek city wakicheza kabumbu tatizo guardiola much know sana km sane kampany yaya toure wangekuwepo kikosin adi leo nakuapia real madrid angechezea sita fodrn bado grealish bado strealing kasi imepungua
 
League bado ila kwa jana sio kwamba team ilicheza vibaya ila kulikuwa na mapungufu kwa key players wetu wawili jana hawakuwa na game nzuri Mo na Mane, nadhani kuna wakati Mo kama anataka kulazimisha touch zake hazikuwa nzuri kwa Mane hakuwa tishio mara nyingi alikuwa anapokea mipira akiwa kaelekea upande wetu hakukuwa na zile turn zake kama kawaida yake lakini hii huwa inatokea na wapinzania walichangia kwenye hili walikuwa hawaachi nafasi na wanajaa karibia watano hakuna space, Kulikuwa na haja ya Origi kuingia badala ya Mo kwa kuwa jamaa walitufanya tutumie sana cross na tunajuwa Origi ndio styke yake inabidi kuwe na plan B kama ile tuliyotumia dhidi ya Everton. Mimi bado na hope sababu hata City anaweza kuachia point japo nafasi yake kubwa kuliko sisi. Kikubwa jana hatukuwa vizuri na hasa Mo na Mane ila Diaz alikuwa super kapigana sana. Ndugu zangu wa Liver tushangilie team yetu game bado.
Nimeangalia game jana, ingawa Spurs walikuwa na Compact blocks ila karibu wachezaji wote liverpool hawakuwa technically secured, that's a big reason kufail game ya jana, may be ilitokana na fatigue kwa kucheza Uefa katikati ya wiki. Wachezaji wenye technicality ya kiwango cha juu kama Thiago & TAA wamegive ball away more than 3X, hii ilikuwa green light nini kitatokea, nikaandika juu kule, so kuna mlevi kaja anakurupuka kuniquote hajui hata nini nilimaanisha
 
Nimeangalia game jana, ingawa Spurs walikuwa na Compact blocks ila karibu wachezaji wote liverpool hawakuwa technically secured, that's a big reason kufail game ya jana, may be ilitokana na fatigue kwa kucheza Uefa katikati ya wiki. Wachezaji wenye technicality ya kiwango cha juu kama Thiago & TAA wamegive ball away more than 3X, hii ilikuwa green light nini kitatokea, nikaandika juu kule, so kuna mlevi kaja anakurupuka kuniquote hajui hata nini nilimaanisha
What is tech ical secured? Kila mchezaji his not technically secured. That is nonses.
Spurs walichwza ile typical Conte style. Compact defense and counter attach. Any team ikichezewa hivyo with minimal ondividual errors opponent lazima wawe vulnerable. It is simple as that. Hata hao alina Mane na Salah uchezaji wao mbovu ni tunda la compact defense
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom