Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,427
- 11,151
Da nadhani kwaza huamini kilichotokea pili hujui ulie au ucheke tatu unatamani kua sisi...Match pekee aliyocheza ni ile 3-1 against Chelsea darajan , baada ya hapo hakuna alilokuwa anafanya na sio kwamba natamani liverpool Kuchukua CL ila Madrid Hana hadhi ya Kuchukua CL kwa mpira ule![]()
Imagine being us...




Yaani huamini kama umetoka umemuacha Liverpool anaenda fainali.. Aisee maisha haya..kila mtu ana chaguo lake..

