Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Match pekee aliyocheza ni ile 3-1 against Chelsea darajan , baada ya hapo hakuna alilokuwa anafanya na sio kwamba natamani liverpool Kuchukua CL ila Madrid Hana hadhi ya Kuchukua CL kwa mpira ule
Da nadhani kwaza huamini kilichotokea pili hujui ulie au ucheke tatu unatamani kua sisi...
Imagine being us...
Yaani huamini kama umetoka umemuacha Liverpool anaenda fainali.. Aisee maisha haya..kila mtu ana chaguo lake..
 
Match pekee aliyocheza ni ile 3-1 against Chelsea darajan , baada ya hapo hakuna alilokuwa anafanya na sio kwamba natamani liverpool Kuchukua CL ila Madrid Hana hadhi ya Kuchukua CL kwa mpira ule
Mkuu jana hamkua na siku bora kazini kwa mfano Ederson hua ana pass percentage ya zaidi asilimia 84 lakini jana mechi vs Real Madrid kipa wako alikua na pass percentage ya 50+,utaona vyema mlivyopoteana.

Jana ni mechi ya pili msimu huu mmeacha your usual basic ambacho ni compactness kuanzia dakika ya kwanza mpaka ya mwisho jana ilifika mahala mipira yote ni mirefu tu na hapo Carlo akasema ewaa na wataka hapa hapa niwaonyeshe kazi.

Kwenye mpira ndugu never lose your identity ambayo imekuletea mafanikio makubwa sana lakini huo mpira wa kuanzia dakika 60 sio mpira wenu kabisaaa mliiga sijui wapi

YNWA
 
Mkuu jana hamkua na siku bora kazini kwa mfano Ederson hua ana pass percentage ya zaidi asilimia 84 lakini jana mechi vs Real Madrid kipa wako alikua na pass percentage ya 50+,utaona vyema mlivyopoteana.

Jana ni mechi ya pili msimu huu mmeacha your usual basic ambacho ni compactness kuanzia dakika ya kwanza mpaka ya mwisho jana ilifika mahala mipira yote ni mirefu tu na hapo Carlo akasema ewaa na wataka hapa hapa niwaonyeshe kazi.

Kwenye mpira ndugu never lose your identity ambayo imekuletea mafanikio makubwa sana lakini huo mpira wa kuanzia dakika 60 sio mpira wenu kabisaaa mliiga sijui wapi

YNWA
Everton
 

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Malipo ni hapa hapa duniani huyu Kipara kawaonea sana wazee wetu Fergie na Wenger sasa ni wakati wake apate maumivu .

Nakumbuka kuna mechi moja babu Fergie almanusra apate stroke maana alipigiwa soka moja hatari sanaaa...

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
CL sio taji la kulilia mzee ,litakuja lenyewe tu

Kikosi chako kilikuwa na:-
1) Vicent Company
2) Fernandinyo
3) David Silva
4) Aguero
Jumlisha na baadhi ya hawa waliopo pia ukashindwa kubeba UCL.

Wanaofuata kukimbiwa na Umri na uwezo kuaza kushuka.
1) Walker
2) KDB
3) Sterling
4) Bernardo

Sasa hapo mzee baba unajipa matumaini lini hiyo CL itakuja wenyewe? 😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom