Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
tuachane na ushabiki liverpool wanacheza soka la zaman krosi za kipumbavu kibao yaan whole match krosi na gonga za kuzugia
ebu ichek city wanavyopiga beautifal soccer yaan ni burudan tosha kuichek city wakicheza kabumbu tatizo guardiola much know sana km sane kampany yaya toure wangekuwepo kikosin adi leo nakuapia real madrid angechezea sita fodrn bado grealish bado strealing kasi imepungua
Wewe ndio ujui mpira high line defense nayo ni mpira wakizamani.
Man U ndio anacheza mpira wakizamani ndio maana anafungwa kila siku. Wewe kuanzia msimu huu uanze utakuwa umeangalia mechi moja tu hiyo.
Liverpool anacheza mpira wa kisasa ndio maana anapata matokeo kila mechi mpaka saizi mashindano yote kafungwa mechi 3 wewe timu yako imefungwa mechi ngapi?
