Dp800
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 2,290
- 4,633
😂😂😂😂😂Usimalize maneno kaka, bakisha akiba. Liverpool wenyewe hawatabiriki na hujui watarudi vipi 2nd half.
Tusije tukakosa pa kukimbilia😂😂
😂😂😂😂😂Usimalize maneno kaka, bakisha akiba. Liverpool wenyewe hawatabiriki na hujui watarudi vipi 2nd half.
Tusije tukakosa pa kukimbilia😂😂
🤣🤣😂😂😂😂😂
Tulishawaambia watuache na liverpool yetu hawasikiiTumebaki wenyewe tu![]()
Tulishawaambia watuache na liverpool yetu hawasikii
Haya ona sasa hawana pa kukimbilia
UEFA champions league ya 7 hio inakuja liverpool 😂😂😂😂😂
Hallelujah!...
Unai kocha wa mpira angalia wachezaji alionao ni trash kutoka team zingine lakini anawakamua kweli kweli
AmeeeeenTulishawaambia watuache na liverpool yetu hawasikii
Haya ona sasa hawana pa kukimbilia
UEFA champions league ya 7 hio inakuja liverpool
Hallelujah!...
Na ametoa assist,Keita& thiago ni wazuri timu ikiwa ina shambulia-Timu ikiwa inashambuliwa utawaonea huruma maana kukaba sio jadi yao kabisa tofauti na Fabinho ambapo yeye ni mzuri kwa kuzuia.Ila wakati mwingine mashabiki tuwe na subra kwa kile makocha huwa wanafanya imagine tayari tulishaquestion uwepo wa keita
Yani sasa villareal akakumbane final si angeenda gawa ubingwa tu bure hukoKuna mtu tena unakuta ni baba wa familia kabisa alikuwa anawaza Villarreal anamtoa Liverpool.
Ninekuelewa mkuu 🙌🙌Nahisi hukunielewa
Atletico ni uefa materials ,ila hao wote villareal ,benefica na inter Milan ni Europa material...!
Daaaaaaaaa!


Na ana mke wake aisee,kuna wanawake wengine ni wa kuwahurumia tu,wamepata vilaza 😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣Kuna mtu tena unakuta ni baba wa familia kabisa alikuwa anawaza Villarreal anamtoa Liverpool.
Sisi kama mashabiki ni lazima tupanic mkuu kwani wewe uliamini kile kilicho tokea 1st half?Ila wakati mwingine mashabiki tuwe na subra kwa kile makocha huwa wanafanya imagine tayari tulishaquestion uwepo wa keita
Nilipoona hii sub, nikajijiminia maji ya baridi kwa glas, kisha nikasema "here we go"

