King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
I have faith in Emery
Yes! Continue to keep your faith
I have faith in Emery
Don’t mess up with Dr. Emery
Hii mechi nimeidharau kumbe watu wamepindua meza![]()
Yes! Continue to keep your faith
Nifafanulie hii picha
Man City atapita kesho hata kwa kufia uwanjani, tunza huu ujumbe, tuombe uzima kwa MUNGUInter kabeba UCL na Mourihno
Man City na anavyo muogopa Liverpool anaweza poteza kesho
Najua ww ni shabiki wa Chelsea, nashukuru kwa kuwa bega kwa bega na sisi, tang tulivyo pigwa goli 2 1st half mpaka tulivyo fanya comeback.Kwani kocha kakosea wapi, Roberston na Jota ndio mmoojawapo wa wachezaji wa kutumainiwa, leo form zao zimeshuka, wamezidiwa. Kocha sio nabii wa kujua kuwa leo wangecheza below form
Mambo ni motoooo sana ndugu yangu.... Tuna fainali 6 mwezi huu wa 5.Captain Marvelous brother tuanze kufanya booking sasa Twenzetu Paris tukanyanyue ndoo.
Niliwaambia hii kazi imeisha
Of course sikuamini lakini nilikuwa sielewi vipi leo hendo awefavourite kwa keita wakati muda mwingi huwa tunablame hendo akianza first 11Sisi kama mashabiki ni lazima tupanic mkuu kwani wewe uliamini kile kilicho tokea 1st half?
Usimalize maneno kaka, bakisha akiba. Liverpool wenyewe hawatabiriki na hujui watarudi vipi 2nd half.
Tusije tukakosa pa kukimbilia😂😂
UEFA champions league, nawatakia kila la heri Liverpool, lakini EPL nimeshakata tamaa kuamini kama Man City atatoka pale kileleni na kuwaachia ubingwaSasa hivi tunachowaza kwanza ni epl jinsi gani tumtoe man city kwenye reli
Tunabeba vikombe vyote hakuna cha nini wala nini hapa
Sisi ndio vidume hapo uingereza,hakuna wa kutuambia lolote tunawaletea makombe ya ulaya yote.


Daah,na ameona game ya leo Yaani man city anapoteza gemu kesho yeye mwenyewe akubali yaishe tu 😀😂😀😂Inter kabeba UCL na Mourihno
Man City na anavyo muogopa Liverpool anaweza poteza kesho
Sisi kama mashabiki ni lazima tupanic mkuu kwani wewe uliamini kile kilicho tokea 1st half?
IMAGINE BEING US![]()


Acha woga atatoka mwenyeweUEFA champions league, nawatakia kila la heri Liverpool, lakini EPL nimeshakata tamaa kuamini kama Man City atatoka pale kileleni na kuwaachia ubingwa![]()