Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Siki zote nyani halioni kundule ,unakuja kuongelea city ambaye kampiga Leeds goli 4 et ana struggle,wakati wewe Newcastle kakushika umetoka na goli moja 1 ,wewe wa goli moja hujastruggle ila aliyefunga goli 4 amestruggle ,hivi kweli unaangaliaga mpira wewe ,unajua hakuna game nyepesi ???? Au unaagalia LiveScore matokeo ,kama city ile game amestruggle je liverpool na Newcastle utasemaje ???mashabiki wote wa Liverpool wameangalia hii game wanatetemeka na kutamani mpira uishe

Bado timu yako huioni kama inaweza kupoteza kwa Spurs ambaye anataka top four ,unakuja kutafuta matumaini kwa wolves ambayo game 5 hajapata ushindi wowote ,et unataka westham ambaye jana kagongwa na arsenal ambayo haikuwa kwenye form aje amfunge city subili tumalize uefa ndio utaiona sura halisi ya city epl ,hakuna mbwa atakatiza nakwambia ...!

Mbaya zaidi unaona wolves ni wazuri Sana wanaweza kumfunga city ila wewe hawawezi kukufunga au hujui kama ina game na wolves? Kaangalie game na wolves round ya kwanza ulitokaje kabla hujasema city tulishinda ushindi mwembamba wa penalty na wolves round ya kwanza , mashabiki wa liverpool wanaojua mpira wametulia kabisa kuhusu hii show ,sio kwamba wameshindwa kujitokeza kusema watachukua makombe manne ila wanajua mpira ulivo ,na match ilivo

Mimi nasema hivi hakuna mbwa yeyote atakayebaki salama akikutana na city mpaka may 22 ni kusambaza kipigo cha mbwa Koko mwendo wa 3+ goal mpaka wabweke bweeeee bweeeee bweeeee
Bangi inachelewa kuhalalishwa sababu ya mambo zako za ajabu
 
Diaz msumbufu hakupaswa kuanzia bench
Hapa naona Klopp kaangalia pia mechi ya Tottenham Jumamosi...

Au pengine kaona Diaz aingie wakiwa wamechoka Villarreal alete aamsha.

Uzuri Uefa ina sub 5 hivyo panapobidi Klopp atafanya sub wakati sahihi.

YNWA
 
hivi liverpool alikuwa anacheza uefa kweli ,najawa na wasi wasi mkubwa kabisa ....

Liverpool vs intermillan

Liverpool Vs benifica

Liverpool Vs Villarreal....

ifike hatua Hawa waache kutuchezwa akili hii ni Europa kabisa hakuna uefa ya namna hii

Weka na Atletico na AC Milan hapo ili na wewe uwe umeungana na sisi kwenye Europa pale ulipocheza na Atletico.
 
🤣🤣🤣Wewe komeo lile haha huwezi kulala mlango wazi ukabaki salama.

Liverpool ni VVD, Fabinho, Allison, Salah hao ndio nguzo kuu ya hii klabu yetu pendwa in terms of influence uwanjani in big games...

Alikula benchi nadhani FA msimu huu kuna gemu hajacheza.

YNWA
Game ipi hajacheza VVD?
Sijawahi Iona😂😂
Kwa kweli kikosi kimekamilika.
 
Diaz msumbufu hakupaswa kuanzia bench

Nahisi kwasababu ya kupoteza last game Villarreal leo watafunguka that's why Klopp kamusnzia Jota kama Striker instead Diaz ambaye ni Funguo kwa Timu inapocheza low block.
 
Niwakumbushe tu wana liver wenzangu. Milner ni mchezaji wetu 2022/2023. Tako yake ndio ilitupatia goli vs newcastle.
 
Kikosi ndio hiki... Mnasemaje wakuuu

View attachment 2210280
Subs: Kelleher, Milner, Gomez, Henderson, Oxlade-Chamberlain, Jones, Minamino, Tsimikas, Diaz, Origi, Matip, Elliott.

YNWA

Kitu pekee anachokiomba Captain wetu ni kuwa Keita kuwa Majeruhi, Kwa Thiago hakugusiki, kwa Fabinho ndiyo hata kupaangalia ni dhambi, Keita ndiyo huyo anarudi kwenye ubora wake na kuyakimbia Majeruhi! Mbona mwaka huu atanyanyua Kombe kutokea Benchi!! 😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom