Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu Keita leo naona amevibiwa futari yaaani yeye na Salah hawarudi nyuma kusaidia defensive duties nwa ngoja tuone maana kikosi kizima kipindi cha kwanza hawakua kazini wamewapa Villarreal gemu nyepesi sana mpaka magoli yanarudi.

Henderson taken wise yupo chini ya Keita lakini wakati mwingine unachohitaji ni bodies to close the channels na hilo captain wetu hua anafanya powa sanaaa.

Keita na Thiago almost wanacheza identical moves hivyo hii combination mapema sana Klopp ampumzishe mmoja.

YNWA
Futari vipi wakati mfungo ushaisha? Kavimbiwa pilau la idd huyu keita
 
Futari vipi wakati mfungo ushaisha? Kavimbiwa pilau la idd huyu keita
Hahahaha ngoja tuone..

MF leo imelala usingiz mnene sana.

Klopp vyumbani kule naona mida hii ana rap maana hii haikumbaliki...

Unai tangu jana alisema he will make us suffer sijui Klopp alidhani anatania ama namna gani kumbe he meant business...

Mapema sana sub zifanyike asisubiri dakika 70 tunahitaji goli mapema sana.


YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom