kengele maziwa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2015
- 435
- 650
Hapana Mzee keita leo alipotea ukiacha timu nzima first half kupotea nae Leo hakuwa mchezoni ukweli usemwe.Ila wakati mwingine mashabiki tuwe na subra kwa kile makocha huwa wanafanya imagine tayari tulishaquestion uwepo wa keita





