Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sasa hivi tunachowaza kwanza ni epl jinsi gani tumtoe man city kwenye reli


Tunabeba vikombe vyote hakuna cha nini wala nini hapa



Sisi ndio vidume hapo uingereza,hakuna wa kutuambia lolote tunawaletea makombe ya ulaya yote.
Mkuu tulishindwa kumtandika huyo city kipindi tupo ugenini, sasa kazi iliyo baki ili Ang'oke hapo juu ni Lamli tu.
 
Hapana Mzee keita leo alipotea ukiacha timu nzima first half kupotea nae Leo hakuwa mchezoni ukweli usemwe.
Hii issue naona inataka ilete gumzo, keita hakupotea ila ni mids nzima ilipotea first half, kwanini ilipotea kwasababu 3front yetu mwanzo ilikuwa low na ilikuwa haikabiii juu kama inavyotakiwa so mids ikawa inalemewa. Kama umeona vzr second half VR kakabiwa juu kwa pressure ya hali ya juu akapoteza confidence akapigwa bomba tatu chap.
 
Adjustments.jpg
 
Najua ww ni shabiki wa Chelsea, nashukuru kwa kuwa bega kwa bega na sisi, tang tulivyo pigwa goli 2 1st half mpaka tulivyo fanya comeback.

Lembu ni Mtu mmoja anaishi kwa akili sana humu JF, Baada ya kupigwa goli 2 watu wote walikuwa wakitema shombo humu lakini yeye alibakia katika position ya neutral kwasababu alijua mapema kama Villarreal ni Bajaji ya Udongo.
Hivyo akishaona Game haieleweki huwa anasubiri Dakika 90 zimalizike ili apate pa kuanzia! Sasa njoo upigwe uone rangi yake halisi.
 
Hapana Mzee keita leo alipotea ukiacha timu nzima first half kupotea nae Leo hakuwa mchezoni ukweli usemwe.

Tactically unaweza kufafanua angeanza Henderson angebadilisha Nini?

Kwa nilichokiona mimi Kipindi cha kwanza:
  • Kupotea kwa Keita na Thiago leo sio kwa sababu hawakuwa katika form bali ni game plan ya Unai kuwadhibiti wasipokee wala wasisambaze mipira.
  • Unai alichofanya ni kukata kabisa mawasiliano kati ya Midfielders na Washambuliaji ndiyomana aliziba space zote za Mido zetu zisiweze kusambaza Upendo kwa kuchezanao Chini ya mguu kuhakikisha hakuna anayefanya successful First touch.
  • Unai amedhibiti Washambuliaji wote kuhakikisha hakuna anayepokea mpira kwa mbele ndiyomana mipira yote waliipokea wakiwa wamegeuka nyuma.

Hivyo kwa game ya leo kwa kipindi cha kwanza hata Angecheza Henderson basi nayeye angepotea mazima kuliko huyo Keita kwani kwa pressing waliyoifanya Villarreal angechoka ndani ya dakika 20 za kwanza.

Tunapoangalia mpira lazima tuiangalie in Footballwise na sio Kiushabiki.
 
Ile pressing haikuwa ya kawaida kuna saa hadi unadhani VR labda wamezidi walikimbia mnoo kiasi nguvu zote walitumia first half
hatari Kaka tumepoteana wote, mpaka thiago anapiga pass mkaa hazieleweki. Sema hii midfield ya fabinho-thiago-keita watoto ambao wanapaki bus inafaa kwa kufungua block coz thiago na keita wote wanapandisha timu so tunaacha nafasi kubwa. Kingine ile role ya Henderson kucheza upande wa Arnold kwa keita inampa ugumu kidogo coz anorld anavyoingia ndani kidogo keita anaenda upande aliotoka anorld then anatia cross ambao kidogo bado hajaweza kulink vizuri. All in all we are good na tumepita japo tumeonja ladha ya UNAI EMERY #YNWA IMAGINE BEING US
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom