Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kabisa Tunadefence mbovu mno aisee
Mkuu ukielewa kazi ya ma MFs wetu anavyotaka Klopp basi utajua vyema hizi lawama zinaanza wapi na kuishia wapi...

Weak link ya high line defence ni wachezaji wetu kupoteza mpira mazingira hatarishi tazama goli la pili ya Westham tulivyopoteza mpira na jamaa chap wakatupiga kaunta bila shaka utaona high line imetu cost lakini ingekua leo kila second ball ilisachiwa na tochi design kama gemu ya ugenini Manchester United basi hawa wagonga nyundo wangeambulia kipigo...

Strong and key area ya Liverpool ni win the second ball higher up the pitch na kuanza quick attacks kabla timu pinzani hawajajipanga lakini leo hayo yote imeshidikana kabisa, we couldn't win the ball back and hurt Westham..

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Muda hubadilika usiseme mbaya wetu ni man city na tukiendelea na ujuaji aseno anatubonda na sitoshituka...

Tunacheza mpira mmoja wa kiboya sana... Rubbish football sijui robo alkua anaona anachocheza plus mwenzake mane anaporwa mpira kaunta goal...

Mid sasa ox na thiago bora nani mara mia thiago sio ox ila klopp sasa anajaribu watu huku anatafta kombe...

Kuna siku mbinu zake zote zitafeli... Na atatikiwa acheze real football sio kulaumu ooh sijui lile sio goal sijui boyz played well played well. Ya mafii..


Tu reduce expectations na hii team haina maajabu tu reduce tukishinda tufurahi tukipigwa tutulie.... So far ni ajabu ndo tu napigwa leo tunacheza soka la kipumbavu sana hasa tukikutana na mid table teams ni kama wachezaji wanachagua mechi za kucheza.... Rubbish mindsets..

Usku mwema chief

Ynwa
Night Doctor...

Wachezaji wanakamia mechi aisee kuna siku wanacheza vyema with fully credentials za able Champions to be lakini kuna siku wanacheza kama hatuna Club goals msimu huu as if huu msimu target ni kumaliza nafasi za UCL basi inatosha..

Lazima wajiangalie kwenye kioo wajiulize maswali magumu sana je wanastahili kweli kuwa uwanjani wakishindana ama wanakua kwa vile wanajua Klopp ana kikosi finyu..

Hatuweza kwenda namna hii business as usual tu kwa vile tupo big 4 basi inatosha hapana aisee..

Arsenal duuh wamenishangaza sana aisee yaaaaani tumewaacha kwa pointi 2 tu pamoja na kupoteana kule ligi ikivyoaanza yaaani kweli umakini unahitajika otherwise upepo unaweza kutubadilikia kabisaaa....

Kuna wiki 2 za mapumziko Klopp has to reflect we are leaving lots of spaces and we are being put to the sword,our MF is typically being overran by this teams ambazo wanafanya homework yao vyema dhidi yetu..

YNWA
 
Night Doctor...

Wachezaji wanakamia mechi aisee kuna siku wanacheza vyema with fully credentials za able Champions to be lakini kuna siku wanacheza kama hatuna Club goals msimu huu as if huu msimu target ni kumaliza nafasi za UCL basi inatosha..

Lazima wajiangalie kwenye kioo wajiulize maswali magumu sana je wanastahili kweli kuwa uwanjani wakishindana ama wanakua kwa vile wanajua Klopp ana kikosi finyu..

Hatuweza kwenda namna hii business as usual tu kwa vile tupo big 4 basi inatosha hapana aisee..

Arsenal duuh wamenishangaza sana aisee yaaaaani tumewaacha kwa pointi 2 tu pamoja na kupoteana kule ligi ikivyoaanza yaaani kweli umakini unahitajika otherwise upepo unaweza kutubadilikia kabisaaa....

Kuna wiki 2 za mapumziko Klopp has to reflect we are leaving lots of spaces and we are being put to the sword,our MF is typically being overran by this teams ambazo wanafanya homework yao vyema dhidi yetu..

YNWA
Arsenal watawapita wiki ijayo
 
Ukikuta kocha badala ya kukubali udhaifu kama TT yeye analalamika tu, basi kibarua kimemshinda
Alisson hakufanyiwa foul yeyote
Cressworl kacheza rafu ya kawaida mno, red card hutolewa kwa dangerous foul zinazolenda kumuumiza vibaya mchezaji
Tuonane wiki ijayo Arsenal watawafunga na kupisha tena kiti kama leo mlivyowapisha kiti Westham
 
Arsenal watawapita wiki ijayo
Siwezi kushangaa aisee leo tumepewa reality check ya nguvu sanaaa... Tumekua na bahati nzuri sana washindani wetu wanawai kucheza kabla yetu lakini badala hio bahati iwe ya msaada imekua ni balaa tupu..

Epl itarejea tena 20 November 2021 na mechi ya kwanza hio Jumamosi itakua ni Chelsea vs Leicester saa Tisa Unusu huku sisi Majogoo tukiwavaa Arsenal siku hio hio saa 2 usiku. Sasa usishangae Chelsea akakamatika na tukishindwa kutumia hayo matokeo to our advantage...

YNWA
 
Wana Liverpool wenzangu,hamna haja ya kuanza kutukana wachezaji,kucheza chini ya kiwango ni kawaida kwa mchezaji!
Alison will bounce back,atajirekebisha atatupa tena clean sheets
Waache Liverpool’s Pep waendelee kutukana wachezaji,sisi Liverpool halisi tuendeleze umoja wetu
Ndg kama kuna mtu anatukana wachezaji JF wacha awatukane hasira ziishe maana hawawezi kuona hayo matusi ,ni sawasawa na kuwatukana polisi ukiwa kwako pekeyako .
 
Liverpool Trophies:
League Tittles: 19

Premier League Champions: 19

European Trophies: 12

UEFA Champions League: 6

UEFA Europa League: 3

UEFA Super Cup: 4

NB; nimeona tukumbushane tu kidogo..
Wewe hauna Premier League 19

Una Premier league 1

Na first division 18

Nasubiri mapovu ya mashabiki wa liverpool niwatoe damu.
 
Siwezi kushangaa aisee leo tumepewa reality check ya nguvu sanaaa... Tumekua na bahati nzuri sana washindani wetu wanawai kucheza kabla yetu lakini badala hio bahati iwe ya msaada imekua ni balaa tupu..

Epl itarejea tena 20 November 2021 na mechi ya kwanza hio Jumamosi itakua ni Chelsea vs Leicester saa Tisa Unusu huku sisi Majogoo tukiwavaa Arsenal siku hio hio saa 2 usiku. Sasa usishangae Chelsea akakamatika na tukishindwa kutumia hayo matokeo to our advantage...

YNWA
Usijipe hopes

Leicester this time ni kimeo....
 
Mkuu tatizo hizi kuku zinaamini kikosi Chao ni Bora kuliko. ..Sasa mbaya zaidi hawana hata sub za maana
Mashabiki wa Liverpool wanajifangaa wanajua mpira kisa ni vizee. Ni watu wanaojiona kweli kweli ngoja dawa iwaingie. Akili zenu zikae sawa.


Hizi ni tambo baada ya mechi. Kabla ya mechi mlitamba sana. Wacha na sisi tutambe baada ya mechi

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nadhani tumekua na matokeo safi kabisa hivi karibuni mpaka tumesahau pengo la Gini linazidi kuonekana kabisa bila chenga...

Kwa sasa naona we take one game at a time otherwise hii EPL ndugu haina mwenyewe kwa sasa maana yasiyotarajiwa ndio hayooo yanatokea..

YNWA
Hapa umeongea kimpira na si kishabiki. Akili imeanza kuwakaa sawa. Narudia kusema kwenye mpira kila timu inaingia kupata point tatu. Lakini anaezidiwa mbinu hupoteza points akiwa sawa kimbinu wanagawana point.

Hakuna timu yoyote duniani inayoingia uwanjani kutafuta point zero 0 hakuna. So Jana West ham wamewazidi mkalambwa. Mjipange kwa mechi ijayo. Baada ya break

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom