Ppmosile
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 1,232
- 1,890
Vipi mmeshinda 4Leo WEST HAM 0 - 4 LIVERPOOL FC
Vipi mmeshinda 4Leo WEST HAM 0 - 4 LIVERPOOL FC
Gemu ya leo ilihitaji utulivu sana lini tushambulie lini watoe pasi yaani haikuhutajika margin of error lakini kama kawaida yetu we make our own downfall... Unaweza aje kusidikiza kweli mchezaji vile huku anaelekea golini kwako yaaani poor kabisa...Kuna haja ya kuingia sokoni mkuu pale katikati panahitajika damu ya moto kabisa, twende kwa Tielemans maana HENDO jua limezama, keita ndio huyo trip shamba trip garage, Thiago ndio huyo hajamatch na mfumo mpaka leo, Milner jua limesha zama ameshasoma Kilometer za kutosha.
Hatimaye jukwaa limekimbiwa kama walivyokuja jana kwenye jukwa la mabingwa wa Ulaya kutusimanga.
Mungu ni fundi....![]()
tuliza mshono liver bado ni bingwa... Huwezi linganisha na cheltako au manyuaAisee nilijua ni sisi majogoo hutembea na matokeo mfukoni kumbe na nyie wa darajani mnatembea nayo..Yani sisi tuwashindwe Hawa Westham????embukuwa serious mkuu.
Hao man shityee najua hawananpa kutokea.
Sisi Chelsea tutawamudu vizuri Hawa west ham
Unbeaten Kama ubeaten Kama unbeaten 😂😂😂🤣🤣
Sema bado canal ni bora mkuu, dstv mpaka compact plus ndo upate uefa yote ...ila huku 45k unajimwaga na kupambana na lugha...mechi zikichanganya huku nalipa bombaalafu kwingne full nabak na chenji...

unakuwa mfaransa bila kupenda..
Nmekumbuka euro ilikuwa mwendo wa sibuka fm
Ushindi upi?Ushindi lazima...
Ynwa
Sasa litimu lako libovu ndo maana unaifuatilia zaidi Liverpool...Ushindi upi?
Napata wasiwasi leo mmelala na njaa.
Jinsi gani mnaiogopa livapuuWatu wana wivu tu hawa akina olachuga. Wivu kwasababu tulikua anbiteni![]()

Gemu ya leo ilihitaji utulivu sana lini tushambulie lini watoe pasi yaani haikuhutajika margin of error lakini kama kawaida yetu we make our own downfall... Unaweza aje kusidikiza kweli mchezaji vile huku anaelekea golini kwako yaaani poor kabisa...
Kuhusu usajili ndugu huyu Klopp pride yake inammalizaga wakati mwingine yaaani hawa wamiliki lazima awe anawapa za uso black and white..
Nimegudua mwanzo mwema wa EPL na UCL umetu brain wash kuona tuna kikosi kamili cha kuleta makombe lakini ukweli ni kwamba wakicheza kana unit wanaweka kumfunga yeyote lakini wakicheza kama leo duuh tunakua opened mwanzo mwisho ilihitajika individual brilliance kutoka kwa VVD na Allison kupungua aibu hii otherwise kuanzia Mane na wengine leo wamekua na a very bad at work.....
Sio ishu kuu imeshua sasa ni how we bounce back to winning ways come 2 weeks from now...
Robertson leo klosi zake zilikua trash kabisa..
YNWA
Tena kama hao Manchester ndio watulie kabisa.Chakushangaza hadi Arsenal na man u wapo kwenye uzi wetu kutushambulia![]()

Kokote mtakakokimbilia tuna nyinyi....Wadau mnaonaje tukiukimbia uzi kama chelsea jana?, Kwani shida nini situnaukimbia tu baada ya wiki mbili tunarudi?



Vipi imeishaje?Match draw hii
tulia k weweVipi imeishaje?
Ni kweli mkuu upande wa TAA hua unapwaya sana tunavyoshambuliwa na pia kwenye kona ama set piece inaonekana dogo sijui ni muoga wa kuokoa na kichwa ama niaje tazama gemu ya Brentford na leo utaona hioa weakness laivu bila chenga...mbona ndio magoli tunayofungwa kila mechi, staili hiyo hiyo na sioni timu ikibadilika kiuchezaji, mechi ambazo hatujafungwa ni zile Allison ameamka vizuri, lakini karibu kila mechi lazima itokee 1vs 1 against allison au setpieces upande wa TAA, hata mechi zijazo utaona hivo hivo kina Dijk wanakimbizana na watu tukipigwa counter, tutasema kiungo sijui wakae kina nani ila kwa huu mfumo tutapigwa magoli hayo hayo mpaka Klop ashtuke
Nyumbu lazima wamalize nje ya top six..Tena kama hao Manchester ndio watulie kabisa.
Matokeo yao ya jana tunayo
Sent using Jamii Forums mobile app


