Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Aisee kipigo kilikuwa kinanukia tu tangu gemu ya Brighton
Kabisa... Hii ni wake up call kabisa kwa Klopp pale kati tunakua too soft... The moment we lost the ball Westham waliwaza tu kupiga mpira mbele mazima..

Hivi bila wachezaji sahihi hii 4 3 3 naona kama tutakua na very patchy days ahead yaaani sometimes yes sometimes no...

Fabinho hawezi kuzuia mipira isifike kwa mabeki peke yake lazima apata msaada a pia wachezaji kupoteza mipira hovyo yaaani...

YNWA
 
Hahaha hili timu letu bhanaa hahaha ..akishabanwa Salah tu Basi hatuna pa kutokea..

Tulishasema hapa kutegemea michezaji mmoja tu ndo aamue ushindi ndo hivyo Sasa akipoteana munapoteana😂😂😂😂
 
Kabisa... Hii ni wake up call kabisa kwa Klopp pale kati tunakua too soft... The moment we lost the ball Westham waliwaza tu kupiga mpira mbele mazima..

Hivi bila wachezaji sahihi hii 4 3 3 naona kama tutakua na very patchy days ahead yaaani sometimes yes sometimes no...

Fabinho hawezi kuzuia mipira isifike kwa mabeki peke yake lazima apata msaada a pia wachezaji kupoteza mipira hovyo yaaani...

YNWA
Zoumaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣
 
Nadhani tumekua na matokeo safi kabisa hivi karibuni mpaka tumesahau pengo la Gini linazidi kuonekana kabisa bila chenga...

Kwa sasa naona we take one game at a time otherwise hii EPL ndugu haina mwenyewe kwa sasa maana yasiyotarajiwa ndio hayooo yanatokea..

YNWA
Kuna haja ya kuingia sokoni mkuu pale katikati panahitajika damu ya moto kabisa, twende kwa Tielemans maana HENDO jua limezama, keita ndio huyo trip shamba trip garage, Thiago ndio huyo hajamatch na mfumo mpaka leo, Milner jua limesha zama ameshasoma Kilometer za kutosha.
 
Ngoja nizame Yutubenga nicheki magoli ya wanangu westham
Asee nimeenda kucheki magoli ya wanangu westham ..dah aise walistahili ushindi, maana Salah anaruka ruka tu ..mipira yote inablokiwa. Allison kageuka kuwa Shati ata Kepa anaweza mkata namba, VVD anazungushwa tu huku na kule Kama bendera🤣
Fabihno ndio kabisa kawa takataka.
Hii timu Leo imecheza yote na bado imelabwa lambwa ..
Mane anaruka ruka tu hajui wajibu wake🤣🤣🤣😂😂

ByTheWay sisi bado ni unbeaten wakuu😭😭😭
 
Ishu ni mbili tu ndugu watuvuta kwao aafu watupige kaunta wanajua vyema muda huo TAA na Robertson watakua mbele kushambulia hivyo wakipiga kaunta wanajua vyema tutakua weak..

Ishu ya pili kona yaani Zuma anatazama mpira mpaka anakwenda kufunga TAA yupo anategemea maajabu ya Allison yaaani TAA kwenye ku defence ni mzigo..

YNWA
mbona ndio magoli tunayofungwa kila mechi, staili hiyo hiyo na sioni timu ikibadilika kiuchezaji, mechi ambazo hatujafungwa ni zile Allison ameamka vizuri, lakini karibu kila mechi lazima itokee 1vs 1 against allison au setpieces upande wa TAA, hata mechi zijazo utaona hivo hivo kina Dijk wanakimbizana na watu tukipigwa counter, tutasema kiungo sijui wakae kina nani ila kwa huu mfumo tutapigwa magoli hayo hayo mpaka Klop ashtuke
 
Naona umebawa jana leo mapema ukamtumia ujumbe Zouma afanye jambo lake...

Matokeo haya ya leo ni ujumbe pia kwako na Pain killer haha mjiadae hawa jamaa hawatanii..

YNWA
Yani sisi tuwashindwe Hawa Westham????embukuwa serious mkuu.
Hao man shityee najua hawananpa kutokea.
Sisi Chelsea tutawamudu vizuri Hawa west ham

Unbeaten Kama ubeaten Kama unbeaten 😂😂😂🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom