Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

On Spot Assessment.

Before the game Klopp alisema yale yale yaliotoke jana. Sielewi huko maadalizi kama haya aliyajua hawakua prepared ni hii threat ama..

Speaking ahead of the contest, Klopp said West Ham’s three biggest strengths was their ability to counter-press effectively, their high energy in possession as well as the attacking threat they pose going forward.

YNWA
 
Tumepoteza Mchezo wacha tufocus kwenye next game.

  • Kuna magoli mawili hatukustahiki kufungwa hivyo Backline yetu imekuwa dhaifu sana na Kipa ameshuka kiwango.
  • Westham wamedeserve Points 3
Mkuu kwani Leo ndiyo unaona kuwa mabeki wenu ni madhaifu? Hilo mbona lilikuwa wazi. Kuna siku niliwahi kusema Liverpool wanawashambuliaji wazuri ila beki hakuna.

Unakuta mnafunga magoli mengi lakini lazima mabeki zenu waruhusu magoli zaidi ya mbili tena wanageuzwa na si kwa bahati mbaya.

Angalia mechi yenu na Bredford wote mlitoa drow ya tatu tatu magoli yote ni open space hakuna cha penalty wala nni.
Mechi yenu na Atlentico na Jana na West ham.

Niongezea na kusema siku mafowadi zenu wakishindwa kufungwa magoli zaidi ya tatu basi siku hiyo lazima mliwe.

Sasa yametokea Jana na hii bado itajirudia.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Naked truth the better team won.

Whining wont win the league or any trophy mbali ni kupambana kwa mbinu zote.

Ki ufupi naona timu nyingi sasa wameshatujia aisee ni mwendo wa kaunta na kwa vile pale nyuma tunakua tumesogea sana kati basi mabeki wanakibizwa mpaka basi one key pass kama jana na tunafungwo...

Otherwise tumeteleza mechi ya jana imeshapita ishu sasa ni namna gani tunarejea kushinda mechi ijayo.

YNWA
Kabisa kufungwa mechi moja haimanishi kuwa kila gemu utafungwa. Mafowadi zenu wanatakiwa waongeze ufungaji wa magoli kuanzia tatu na kuendelea kwasababu mabeki wenu wanaruhusu sana magoli.

All in all bado timu yenu nzuri na inamuunganiko mzuri.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kabisa kufungwa mechi moja haimanishi kuwa kila gemu utafungwa. Mafowadi zenu wanatakiwa waongeze ufungaji wa magoli kuanzia tatu na kuendelea kwasababu mabeki wenu wanaruhusu sana magoli.

All in all bado timu yenu nzuri na inamuunganiko mzuri.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hii 4 3 3 ndugu yangu ndio anatumia Pep miaka yote pale Manchester City na pia ndio anatumia Klopp hapa kwa majogoo kimsimgi ni mfumo unaotegemeana kuanzia mbele mpaka kwa kipa sasa ikitokea eneo moja paka pwaya basi ujue kipigo kipo...

Timu bado ipo vizuri sana ukizingatia na majeruhi tulionayo ndio kabisaaaa..

Mbio hizi msimu huu ngumu, natarajia kuona changes kwa Klopp na kuombea hawa wachezaji hili gudu la majeruhi litupite mbali..

Kwa timu zinazo defend kama jana walivyofanya Westham basi hua tunakosa mchezaji sahihi wa kutoa zile pass murwa sana ndio maana jana Robertson na TAA walikosa new dimension ya kufikisha pasi eneo la hatari maana wapinzani wetu walijua fika wakifunguka tunawapiga..

YNWA
 
Ligi ya msimu huu ipo wazi sana unless mpaka mwezi wa 12 mwishoni Ndio mbio za ubingwa zitaanza kuonesha uhalisia wake. Ila Man city, Chelsea na Liverpool baado ni title contenders YNWA
Ni open sana msimu huu...

Kwa majeruhi wa Chelsea na Liverpool na bado tupo in the mix ni ishara njema sana kwamba Pep hatakimbia na huu ubingwa..

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Siwezi kushangaa aisee leo tumepewa reality check ya nguvu sanaaa... Tumekua na bahati nzuri sana washindani wetu wanawai kucheza kabla yetu lakini badala hio bahati iwe ya msaada imekua ni balaa tupu..

Epl itarejea tena 20 November 2021 na mechi ya kwanza hio Jumamosi itakua ni Chelsea vs Leicester saa Tisa Unusu huku sisi Majogoo tukiwavaa Arsenal siku hio hio saa 2 usiku. Sasa usishangae Chelsea akakamatika na tukishindwa kutumia hayo matokeo to our advantage...

YNWA
LC ya mwaka huu ni very weak, hata tukicheza under form tutawafunga tu, hapo Werner, Lukaku, Mount, Kante, Kova na Alonso watakuwa wote fit
 
Mkuu Hata vvd alichezewaga vibaya refa na var wakasema sio faulo,Baada ya mechi anakili kuwa ilikuwa faulo na alitakiwa atoe kadi.

HAtuwezi kulala mika kwa sasa kwakuwa tumefungwa maana tutaonekana tunatafuta vizingizio .
Ile foul ilichezwa ila haikufikia level ya red card, serious attack yenye kuleta hatari kwa victim ndio inatolewa red card
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom