Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Kombe bado lina ribbon za sky blue aka the Citizens, hao ndio timu ya kuwazidi na hatimae kuchukua kombe kutoka kwao aidha litakua na ribbon za Les Blues ama Red ya majogoo muda utasema.Kombe ni la Chelsea wewe na man city mtagombea nafasi ya pili na tatu
YNWA