Acha bwanaMkuu mpira umeanza kuangalia lini?
Mkuu timu yangu naijua vizuri sana,sijaanza kuangalia mpira leo mkuu.
Timu yangu kufungwa au kutokufanya vizuri na kuwa najua tatizo ni nini.
Mechi ya leo wachezaji niliokuwa nataka wawe Po wapo.
Leo ushindi ni uhakika asilimia 100.
Kikosi chetu kiko kamili.

Ngoja wanangu wagonga nyundo wafanyr kazi yao Kwanza.
Mkuu habari ya mda huu?Leo WEST HAM 0 - 4 LIVERPOOL FC
Sioni kama West ham wametukamia Liverpool tuna Defence mbovu mbovu mbovu.Au tutafute faulo nje kidogo ya box TAA atunyanyue tena. Mbinu zengine zimefeli Hawa wamepania kutuchana chana YNWA
😂😂😂😂😂😂Dah bro tusubiri maumivu dk 90 ikifikaYaaani mpaka Ollachuga Oc Zuma ana tupia khaaaa...
Nianvyo ufinyu wa kikosi unachangia yote haya yaaani Klopp hama benchi ya kuleta mabadiliko akihitaji..
YNWA
Orig ni supersub ila kashesh aanze first XIHahaha Origi the cult hero...
Huyu jamaa magoli yake yaaani..
YNWA
Kabisa Tunadefence mbovu mno aiseeSioni kama West ham wametukamia Liverpool tuna Defence mbovu mbovu mbovu.
Au tutafute faulo nje kidogo ya box TAA atunyanyue tena. Mbinu zengine zimefeli Hawa wamepania kutuchana chana YNWA



