Hatimaye jukwaa limekimbiwa kama walivyokuja jana kwenye jukwa la mabingwa wa Ulaya kutusimanga.
Mungu ni fundi....![]()
Hv unajitambua kweli?Hatimaye jukwaa limekimbiwa kama walivyokuja jana kwenye jukwa la mabingwa wa Ulaya kutusimanga.
Mungu ni fundi....![]()
Unbeaten ni ya Arsenal peke yakeUnbeaten ya nyoko![]()
Ishu ni mbili tu ndugu watuvuta kwao aafu watupige kaunta wanajua vyema muda huo TAA na Robertson watakua mbele kushambulia hivyo wakipiga kaunta wanajua vyema tutakua weak..Tatizo ni klop mwenyewe na mifumo yake, japo kuna maajabu goli la pili Ox anamsindikiza mtu kama mshenga vile badala acheze hata technical foul
Mechi imekwisha matokeo 3 kwa 5 l
The most prepared team won the day, Moyes amefanya homework yake vyema ukitazama walivyokua wana mcrowd Allison utaona kabisa hawa jamaa walijua vyema namna ya kutuumiza, tazama pia zile kaunta zao ndio kabisaa wachezaji kijiji wanamsidikiza Bowen bila hata tackle yaaani...Mipira mingi tunawapa hawatukabi kabisa.
Tuko very slow.
Tena sn mkuu..ile team wanachez kama team sio wakubeza hata kdg wako motivated na ni well coached team japo mbelen watapunguza kasi lkn kwa ss ukija kichwa kichwa wanakupoteza kbs.West ham wako vizuri sana, nimewakubali