Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sio kweli mkuu hatutegemei mtu mmoja afunge,

Liverpool kwenye kufunga hatuna tatizo mkuu,kila mechi lazima tufunge magoli. Hata salah asipofunga sisi lazima tupate magoli.
Magoli yanayoamua matokeo mengi anafunga Nani? Leo uyo mwarabu kabanwa mbavu hajafunga. Angefunga Ina maana matokeo yangebadilika. Ndio maana tunasema ninyi kuku munamtegemea michezaji mmoja.
 
Hii points yako haipo sahihi.
Leo tumefunga Magoli 2 yalitosha kutupatia points 3.

Tatizo la Liverpool msimu huu ni Defence na sio ufungaji! Tumefunga Magoli mengi kuliko Chelsea lakini tumeruhusu kufungwa magoli mengi pia.

Hiyo kusema magoli yetu tunamtegemea Mtu mmoja sio sahihi! Wastani wa ufungaji wa Salah ni goli 1 kila mchezo, wakati wastani wa Liverpool wa ufungaji ni 3 goals per game.

Musiongee bila ya Tafiti
tukifuta magoli yote aliyofunga salah mutakuwa mumeshinda mechi ngapi?
 
Safi Sana mkuu ..wewe ndio shabiki haswa😂😂😂
Ukiwa na hasira aafu unasubiri miaka 30 kupata ubingwa tena uliobadilishwa😜 jina ndugu hizo hasira utaishia ku paralyse ndugu 😂😂😂😂huku ukiambulia maumivuuuuu....

YNWA
 
Aisee.. Mkuu Gomez huyu huyu ama mwingine na kwa 4 3 3... Hili hapana tuedelee na TAA... Ukiwa na muda tazama kwa nini Klopp anatumia 4 3 3 ya dynamic RB na LB hilo ni sababu ya Robertson na TAA kwa vile anajua hana creativity pale kati... Gomez japo anacheza RB sidhani hata kama ana assist 5 au goli 5 pale Liverpool tangu Klopp atue..

Weakness ni pale kwa Konate ambae ni pacha wa TAA defense wise .. Konate Position wise, balance, reading the game, tactical awareness amekua poor mno pale ambapo timu inazidiwa kama leo... Ubora wa mchezaji unaonekana kama leo ndugu unapoelemewa... Ni kama dogo sasa anaitaka hii namba ya Matip kwa nguvu zotee...

Epl sio ligi ya ma baby face inahitaji kazi kazi...

YNWA


My fellow red please please be fair and rational and do not let your emotions prevail

Our very good Trent Anorld is not a good defender but he is great going Forward , heard in the past that it was Klopp who sent him to that Fullback role but himself(TAA) was originally prepared by our Academy as a Midfielder

So let us be honest and let us not judge people or defend people hypocritically

Robertson is a good defender but not that great going forward and that attribute of him being a man good enough for defending suffice his regular starting place always if not forever
 
Tuna Beki VVD, Matip, Gomez, N. Phillip na Konate lakini bado tuna tatizo la ulinzi.

Usajili wa Konate haukuwa usajili sahihi Coz sio Upgrade ya Matip wala Gomez, kuleta Mtu sawa na aliyepo ni kuongeza Zero signing.

Hivyo Timu inaweza kuwaondosha Matip na Konate then isajili Beki wa kuja kufanya Partnership na VVD.

Gomez na N. Phillips kutokana na Umri wao bado wana vya kujifunza hivyo waachwe kama Backups.
 
We are losing the very basic of football and that is patience..

Under such a well nit opponent we need patience.


YNWA
Sisi tumempiga mtu tatu mzuka wakati tuna injury ya wachezaji watano muhimu
1.Mateo Kovacic
2.Lukaku
3.Timo Werner
4.Mount
5.Pulisic
Chelsea ipo ya moto bila kuwa na hao wachezaji vip hawa wote wakirudi chelseafc itakuaje? Maana nimesikia Pulisic ameshaanza mazoezi
 
Rent Boys wakimaliza mechi yao hukimbilia kuja hapa?
You know why? Fanya Comparison kati ya Uzi wa Rent Boys na huu wa Liverpool.
Fanya Comparison kati ya Ukubwa wa Liverpool na Rent Boys.
Utajua kwanini wanaishia kuja hapa.
Hizi ni hasira si za kawaida kabisa umepatwa na nini mzee baba? Draw apate liverpool ila maumivu uhamishie kwa mashabiki wa chelseafc hii kitaalamu inaitwaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom