Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,823
- 233,255
Stress za kushindwa hazijamuacha salama.Huyo dogo hayupo vizuri kichwani.
Kumbuka aliwahi kumfanyia Wyne Rooney faulo ya kitoto kabisa kwenye michuano ya kombe la dunia 2006 wakati alikuwa team mate wake Man U
Naona amekuwa depressed baada ya kuona ana jina kubwa na yupo ndani ya mechi na timu lao limefungwa goli 5.
Hovyo kabisa.. Yaani alinikera.
Sent using Jamii Forums mobile app