Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

My fellow red please please be fair and rational and do not let your emotions prevail

Our very good Trent Anorld is not a good defender but he is great going Forward , heard in the past that it was Klopp who sent him to that Fullback role but himself(TAA) was originally prepared by our Academy as a Midfielder

So let us be honest and let us not judge people or defend people hypocritically

Robertson is a good defender but not that great going forward and that attribute of him being a man good enough for defending suffice his regular starting place always if not forever
Hey habari za masiku kwanza...

Ni hivi ndugu kwa uelewa wangu ni kwamba Klopp hutayarisha kikosi chake pre season akiweka vyema all the necessary details expected for every position and for every player, na ndio maana utaona hata TAA akiwa injured anaesimama pale most of the times ni Milner na sio Gomez hivyo hio inakupa picha kamili where Gomez position ni RFB au RCB.. Nimesema kuhusu pre season utaelewa ni kwa nini walivyoumia Matip, Gomez, VVD wale markshift hawakua wamefanya pre season kwa ajili ya ku defend na ukitazama vyema utaona after so many drills last season last 10 games we performed better. Tazama pia msimu huu Elliot pre season was prepared to play behind Salah kama AM wakati dogo ni RW hivyo maadalizi ya hizi nafasi hua ni based on pre season unless itokee injury kwa main starter.

Cha pili ndugu all along ipo wazi dogo TAA ndio weak link sasa kwenye hili Klopp ana gamble na ku take risk of which mwenyewe umesema boy is good going forward to create goal scoring opportunities, wakati anafanya hayo upande pale akiwemo Matip na Fabinho at least msaada unakuwepo wa kumsaidia defensive duties lakini pia combination ya Konate na TAA upande wa kulia jana ilnaonekana wapo tense na shaky na Seagulls wakatumia vyema nafasi zao kutuumiza... Unapokua na shaky defence ina adhiri confidence ya mashabiki na wachezaji pia ndio maana baada ya Mane kuona vile ilimlazimu kurudi nyuma kusaidia pale tulipozidiwa..
Nionavyo mimi ni kwamba VVD hajapona asilimia 💯 probably saikologically hajakaa sawa ni kama kuna uoga fulani na siwezi kumlaumu mbali anahitaji pembeni yake asimame mwamba Matip anae mfanya kujiamini..

Hapo ndugu cha kuomba ni Fabinho kuwa fit and ready to tango as soon na hopefully huko timu ya Taifa japo wamemiuta hatakwenda aisee, keeping Fabinho fit is vital to our course..

Hili la TAA kubadilishwa kwenda MF Klopp alishalikatalia na mjadala mpana kwa sababu timu ya Taifa wanatamani sana dogo acheze RAM.

Kingine MF tulionao sasa ni Attacking orientated mtazame Jones, Ox, Keita, Henderson yaani hawa to defend ain't thier things na especially the younger ones na ukimtazama Klopp muda mwingi tukiwa jana hua anatingisha kichwa tu itakupa picha kamili boys ain't executing his words to the letter...

All in all bado tupo in a very position kuliweka sawa hili la upande wa TAA..

Kwa Robertson yupo VVD na Jones jana angalau waliweza kufanya yao in tandem na as you have said Robbo is good pia sprinting back for his defensive duties..

Nina imani na Klopp haya atayafanyia kazi..

YNWA
 
Sisi tumempiga mtu tatu mzuka wakati tuna injury ya wachezaji watano muhimu
1.Mateo Kovacic
2.Lukaku
3.Timo Werner
4.Mount
5.Pulisic
Chelsea ipo ya moto bila kuwa na hao wachezaji vip hawa wote wakirudi chelseafc itakuaje? Maana nimesikia Pulisic ameshaanza mazoezi
Mpo vizuri ndugu...kila mchezaji anaechaguliwa na kocha amesimama vyema.

Tutapambana sana msituache mbali sanaa ili mwezi wa tatu kwenda wa nne wakianza wale pundits 🙈wakianza kusema who has the experience not to bottle it up basi tusiwe mbaliiii...

YNWA
 
Na ili wapate Promo ni lazima waje hapa! Manake iliyoshinda ni Timu yao tena haijacheza na Liverpool lakini cha ajabu baada ya mechi kumalizika badala ya kukaa kwenye uzi wao wakafanya tathmini ya mchezo wanakabilia kuja hapa! Hivi hawajishtikii kuona Washabiki wa Liverpool wanafanyia tathmini ya Timu yao kwenye Uzi wa Liverpool na wala hawafanyii kwenye uzi wa Chelsea?
*****...

Kiukweli kwenye jukwaa letu la the blues hatuna cha kujadili.

Timu inafanya maajabu tunakaa kujadili nini?

Hatuna kazi nyingine zaidi ya kusumbua kwenye majukwaa ya rivaries kama Livakuku.
 
Klopp on Brighton draw.

Klopp said: "It looked like bit by bit by bit we lost another player, body-language wise. Then all of a sudden it wasn't there any more. In the first half, we were playing incredible passes between the lines, which was exactly what we needed, but in the second half I can't remember a lot.

"We lost momentum, that was obvious, but if you only play wide you cannot make a real difference given how they defend. We had to attack through the centre, and we didn't

"They are definitely underestimated, not from us but in general. They have incredible technical players. When they play wide, the next pass maybe goes in the centre, and the first touch is incredible. You watch it like, 'Wow!'.

"The second goal they scored was a well-played goal, but we could have defended it better. They deserved the point, and that's it."

He told Sky Sports: "Brighton are incredibly good. It's a day when we could have smashed them, but we didn't. The disallowed goal decisions were incredible - Sadio's goal was pretty much my favourite one since I've been here. It was insane.

"Then they score their goal, which was probably a cross, but we should have defended the half-spaces better, and then it's game on. The best way to defend against them is to have the ball, and then we didn't have enough of it.

"We didn't play football anymore, we should've played more between the lines, and attacked the centre, which we didn't do. They deserved a point, we didn't lose, but it feels like even with the quality of our opponent."

Klopp also gave an update on the fitness of Naby Keita, who was forced off before half-time with an injury and replaced by Alex Oxlade-Chamberlain.

"He showed me the hamstring and people told me it is hamstring, I cannot say more," Klopp said.

YNWA
 
Me naona tuanze na haka kakombe katupe starter ya kuchukua CL na EPL.
JamiiForums-1270495481.jpg
 
Tuna Beki VVD, Matip, Gomez, N. Phillip na Konate lakini bado tuna tatizo la ulinzi.

Usajili wa Konate haukuwa usajili sahihi Coz sio Upgrade ya Matip wala Gomez, kuleta Mtu sawa na aliyepo ni kuongeza Zero signing.

Hivyo Timu inaweza kuwaondosha Matip na Konate then isajili Beki wa kuja kufanya Partnership na VVD.

Gomez na N. Phillips kutokana na Umri wao bado wana vya kujifunza hivyo waachwe kama Backups.
Kutoka Sky sport Italy tetesi zinasema Klopp bado anafuatilia beki Mbrazil Gleison Bremer yupo pale Torino hivyo hii kama kweli inatupa picha Klopp bado hajaridhika na output ya hawa alionao kikosini...

Gomez, Konate, Phillips wanasafari ndefu sana kuja ku claim permanent spot pale kikosi kama alivyo VVD hivyo Klopp ameona hana muda wa kusubiri mbali anataka mchezaji wa kujaku deliver immediately...

Muda utasema nini mipango ya mwalimu kuhusu hawa vijana wake pale nyuma...

YNWA
 
Me naona tuanze na haka kakombe katupe starter ya kuchukua CL na EPL.View attachment 1993113
Definitely wanasema winning any trophy builds winning mentality na winning atmosphere kikosini charging players adrenaline levels to the highest na ndio maana bingwa anaemaliza muda wake hua favourite kuchukua ubingwa msimu mpya mara nyingi...

Sasa hii Carabao sidhani kama ni Klopp favourite kwenye listi yake msimu huu but if we can win this then boys will be in fire...

Case study Les Blues after winning UCL na Super wapo super charged yaaani every one there is a winner maana winning is addictive..

YNWA
 
Mpo vizuri ndugu...kila mchezaji anaechaguliwa na kocha amesimama vyema.

Tutapambana sana msituache mbali sanaa ili mwezi wa tatu kwenda wa nne wakianza wale pundits 🙈wakianza kusema who has the experience not to bottle it up basi tusiwe mbaliiii...

YNWA
Wewe ndio naona ndio mshabiki pekee wa Hili jukwaa hauna unazi yaani kiufupi ulianza kuupenda mpira before ujawa mshabiki wa team
 
Sisi tuna injury ya wachezaji wa5 muhimu wa team Mateo kavacic, Lukaku, Mount,Timo Werner na Pulisic na still tupo hii ndio maana halisi ya kikosi kipana.

Mkuu ratiba imewabeba mkuu mechi zenu mbili za mwisho ummecheza timu za mwisho Kwenye ligi.

Mlivyokuwa full mbona mlifungwa.

Hivi ndio mtaongoza ligi mpaka ligi inaisha ? Ndio mnavyoamini mashabiki wa Chelsea,kitu ambacho hakipo hicho
 
Mkuu ratiba imewabeba mkuu mechi zenu mbili za mwisho ummecheza timu za mwisho Kwenye ligi.

Mlivyokuwa full mbona mlifungwa.

Hivi ndio mtaongoza ligi mpaka ligi inaisha ? Ndio mnavyoamini mashabiki wa Chelsea,kitu ambacho hakipo hicho
Wewe ukimkosa tu salah upo hoi hii ndio tofauti yangu na wewe
 
Wewe ukimkosa tu salah upo hoi hii ndio tofauti yangu na wewe

Wewe ndio naona ndio mshabiki pekee wa Hili jukwaa hauna unazi yaani kiufupi ulianza kuupenda mpira before ujawa mshabiki wa team

Unasema hivyo kwa kuwa amesifia timu yako.

Kiukweli Mkuu hamna mchezaji wakuwapa ubingwa wa pale Epl mpaka sasa,ni swala la muda tu utanielewa.

Utakataa kwakuwa unaongoza ligi kwa point 3 hizo.

Mngekuwa hamja fungwa mpaka saizi labda ningeogopa ila mmefungwa mmetoka draw.

Sema mashabiki wengi wenu bado hamfatilii mpira vizuri.

Yaani chelsea kuanzia leo mpaka ligi inaisha atakuwa yupo tu hapo juu ,kweli?

Ata ile invicible ya Arsenal haikuongoza ligi muda wote.


Me nimeanza kufatilia ligi ya Epl muda mrefu sana.hizo kelele kama za kwako tulishakutananazo sana kwa timu zingine na Man U msimu uliopita,lakini Man U waliishia wapi Msimu uliopita?
 
Tuache utan Chelsea ubingwa unawafata ....

Wengine tuliobaki city ,liverpool ,man utd tunautafuta ubingwa ....



Game ya liverpool vs Chelsea..

Game ya Brentford vs Chelsea ...

miongoni mwa game zilizokuwa zinaonesha kuwa ubingwa wa epl unaifuata Chelsea ,Wala Chelsea hatafuti ubingwa ....
 
Tuache utan Chelsea ubingwa unawafata ....

Wengine tuliobaki city ,liverpool ,man utd tunautafuta ubingwa ....



Game ya liverpool vs Chelsea..

Game ya Brentford vs Chelsea ...

miongoni mwa game zilizokuwa zinaonesha kuwa ubingwa wa epl unaifuata Chelsea ,Wala Chelsea hatafuti ubingwa ....

Mkuu mbona umewaacha Arsenal hapo,Na wakati Arsenal na Man U point wako sawa .arsenal Baada ya kufungwa na man city mpaka Saizi hajapoteza mechi yoyote.
 
Wewe ndio naona ndio mshabiki pekee wa Hili jukwaa hauna unazi yaani kiufupi ulianza kuupenda mpira before ujawa mshabiki wa team
Everything at Chelsea that Thomas Tuchel touches is turning to gold.. Just like Klopp has been doing at Liverpool for a long time just too bad we have Yankees as the owners...

Thomas though has inherited a very well groomed talent yaaani his competitors just watch and wish...
Got to admit your academy products is doing you a big favour this time round vijana wenu akina Mount, Odoi, Cheek, Trevor, James are stepping up when it's matters most..

Liverpool for the last 3 seasons tume step in buying this kids kwa ajili ya academy am sure our future looks very bright in that category kuzalisha akina TAA, Jones wengine watustili tuedako..

Kingine Thomas sio muoga kubadili mfumo wakati hata mechi inaedelea hili pia linampa comfort knowing he can switch to spice things up when needed..

In the meantime Liverpool we are down but not out... We have a very slim squad keeping our top performers fully fit is the main issue now.. To get the best out of this boys only works better when they play as a unit...

Otherwise tupo tupo we will havea bad day on the course kama jana but we ain't giving up..

Worrying trend ni hizi draw to turn them to wins.. Hivi karibuni no team has won the the EPL being a serial sare sare team yaaani...

YNWA
 
Unasema hivyo kwa kuwa amesifia timu yako.

Kiukweli Mkuu hamna mchezaji wakuwapa ubingwa wa pale Epl mpaka sasa,ni swala la muda tu utanielewa.

Utakataa kwakuwa unaongoza ligi kwa point 3 hizo.

Mngekuwa hamja fungwa mpaka saizi labda ningeogopa ila mmefungwa mmetoka draw.

Sema mashabiki wengi wenu bado hamfatilii mpira vizuri.

Yaani chelsea kuanzia leo mpaka ligi inaisha atakuwa yupo tu hapo juu ,kweli?

Ata ile invicible ya Arsenal haikuongoza ligi muda wote.


Me nimeanza kufatilia ligi ya Epl muda mrefu sana.hizo kelele kama za kwako tulishakutananazo sana kwa timu zingine na Man U msimu uliopita,lakini Man U waliishia wapi Msimu uliopita?
Ulichokisema ni kweli kbs timu yoyote kati ya Liverpool,Man City na Chelsea anaweza kuwa bingwa.

Mashabiki wa Chelsea Wana haki kufurahia kuongoza ligi,Wana haki pia kuwaza ubingwa maana hata nyie mnawaza hivo pia
 
Mkuu mbona umewaacha Arsenal hapo,Na wakati Arsenal na Man U point wako sawa .arsenal Baada ya kufungwa na man city mpaka Saizi hajapoteza mechi yoyote.
Asernal unawajua kweli mkuu fuatilia form yao ya misimu kingine kwa mwezi October Hadi msimu wa mechi nyingi December kwenda mbele utawaelewa vizuri
 
Tuache utan Chelsea ubingwa unawafata ....

Wengine tuliobaki city ,liverpool ,man utd tunautafuta ubingwa ....



Game ya liverpool vs Chelsea..

Game ya Brentford vs Chelsea ...

miongoni mwa game zilizokuwa zinaonesha kuwa ubingwa wa epl unaifuata Chelsea ,Wala Chelsea hatafuti ubingwa ....
Ni kweli ubingwa unawafuata Chelsea maana wana timu ya kawaida sana lakini wanapata matokeo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom