Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Hili Mkuu ulishaliweka sawa kipimo chao ni Majogoo...Na ili wapate Promo ni lazima waje hapa! Manake iliyoshinda ni Timu yao tena haijacheza na Liverpool lakini cha ajabu baada ya mechi kumalizika badala ya kukaa kwenye uzi wao wakafanya tathmini ya mchezo wanakabilia kuja hapa! Hivi hawajishtikii kuona Washabiki wa Liverpool wanafanyia tathmini ya Timu yao kwenye Uzi wa Liverpool na wala hawafanyii kwenye uzi wa Chelsea?
YNWA
