Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,816
- 15,578
Mkuu angepunguza lipi labda lile la kichwa au kuna lipi angewza punguza?Hata kama ingekuwa Alisson, zile deflections asingeweza kuzizuia, labda angepunguza magoli kutoka 7 kwenda 5 hivi
Mkuu angepunguza lipi labda lile la kichwa au kuna lipi angewza punguza?Hata kama ingekuwa Alisson, zile deflections asingeweza kuzizuia, labda angepunguza magoli kutoka 7 kwenda 5 hivi
Mkuu wanatakiwa proven player hao ni wakuuza tu.Hivi hatuwezi chezesha kipa wa under 23??
Alikuwa Roy Keane, hlf Klopp akamzodoaKuna mchambuzi alishamuonya Klopp kuhusu mfumo wake wa ulinzi wa kukabia juu( high line) na sina kumbukumbu vizuri alikuwa ni nani, ila nakumbuka alisema "endapo Liver itandelea na mfumo wa high line,itegemee kufungwa Goli nyingi", Kwa hiyo tatizo litabaki kwenye mfumo wa ulinzi anaotumia Klopp Kwa sasa.
Shukrani ndugu mpira bhana na sana sana EPL ni ngumu kutembea na matokeo mfukoni aisee lolote lile linatokea...Nashindwa kuwalaumu sana misimu mi 3 mmepiga mpira wa nguvu sna na kikosi kilikuwa finyu all in all mpira una maajabu yake ukinaswa ndio hivyo tena mara wiki mara 6 mara 5 za city
Ajabu anamtoa Glujic ambae angetoa msaada hali ikiwa ngumu kwakeUwepo wa Gini kwenye starting lineup constantly ni uhujumu wa timu sababu tu Klopp anampenda sana Gini
Gini offers almost nothing, not tackles not assists not goals not midfield creativity
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Kwamba hukuona alizo okoa mechi nzima?Hahahahahahahahah Wametokea vipi??? Kwani yeye pale Golini anawekwa afanye nini Kama mabeki wamefanya makosa kwahiyo yeye atakiwi kuzuia,Ni mara ngapi Allison huwa anaibeba timu kwani mabeki huwa hawapo ni kwa sababu ni majukumu yake.
Hapana mkuu ni sikukuu ya wanariadha wa mbio fupi
Acha siasa taja direct ni goli lipi Adrian angezuia ukiacha goli la kwanza
Huyu nae ni INJURY PRONE tu hana tofauti na Matip, OX Goalkeeper kupata injuries huwa ni ngumu lakini kwa huyu wa kwetu imekuwa ni too much.
Mkuu hilo sahau aisee..Cha kusikitisha ni kwamba mpaka hatujasikia zozote kuhusiana na usajili wa golikipa
Shukrani ndugu mpira bhana na sana sana EPL ni ngumu kutembea na matokeo mfukoni aisee lolote lile linatokea...
Ni kweli kwa hii misimu mitatu hii timu imepambana mno mno na kuleta mafanikio..
Ukweli ni kwamba udhaifu wetu ni highline japo pia ndio silaha yetu kuu endapo timu ikicheza kama unit jana ilikua hovyo sio 1st 11 wala sub wote walicheza chini ya kiwango...
Kwa sasa weak link ni VVD na Gomez pale nyuma chemistry yao hati hati itunyime ubingwa endapo hali itaedelea hivi..
Kwa vile ni ngumu kuona beki akisajiliwa leo hapa maombi ni Matip apone arejee 1st 11 na Gomez apumzike kwa sasa...
YNWA
Hili tatizo la kufungwa bao nyingi lilionekana tangu msimu uliopita. Kabla ligi ijaanza nikatoa tahadhari.
Kwanza japo mulishinda dhid ya Chelsea lakini ubao ulisomeka
5-3 huh no udhaifu wa kwanza.
Kabla ya hapo Watford alikukalisha 3-1
Msimu umeanza Leeds akamkalisha allison bao 3 japo mulishinda 4.
Series imeendelea hadi sasa zimefika bao 7 per match ..hii ni dalili mbaya kwa club kama liverpool yenye mabeki waliobeba sifa za kutosha msimu uliopita na ni dalili njema kwetu sisi maana sasa tutakuwa na uhakika wa kujipigia bao kwanzia tano kuendelea. Bado tuna Everton, Wolves, [emoji41][emoji41]
Timu yenye hasira na liverpool ni Evaton. Anaweza kuwa nywesha vikombe vingi vya chai
Mane ndo anabeba hii timu kwa sasa, na ikianza kuporomoka hivi itaporomoka kweli kweli..