Tatizo siyo la kipa, narudia tena kusema kwamba tatizo ni la timu.
Timu inayogombea makombe kipa wake namba 2 hawezi kuwa kipa aliyeachwa na Westham.
Mkuu leo Aston Villa walituzidi wapi?
Tungekuwa hatujapata hata goli sawa ningesema tulizidiwa sana.
Sasa walichokuwa wanafanya ni kulenga goli tu,kipa anabali anauanhaliA tu mpira magoli manne yameingia kipa anabaki anaangalia tu kwa macho mpira unaingia.
Mkuu andrian anatakiwa aondolewe haraka sana tusajiri golia mwingine bila hivyo huu msimu tutawashangaza wengi Maana muda wote mpira tunao sisi lakini ubao unasoma tumefungwa 7.
Mkuu hilo liko wazi kabisa andrian nikioja
Hahaha, kweli kufa kufaana.
Yaani nimeshasahau kama mmefungwa.
Huyu Kipa aliokotwa Mtaani akiwa Fundi Gereji baada ya kukaa bila ya Timu.
Liverpool ikaona imeokota Dodo mchangani.
Kweli,mngeshinda mngekuwa mnakumbuka vizuri kifungo chetu kule kwenye uzi wetu
Weekend imekuwa nzuri...iko na happy ending
Marehemu atazikwa hapahapa ukimsafirisha gharama zitakuwa mara 2 yakeKWAHIYO NDUGU WA MAREHEMU TUMEKUBALIANA TUNAZIKA AMA TUNASAFIRISHA?????
Ikumbukwe kuwa huyu ndiye kipa wa FA, kwahiyo kwenye Kombe la FA tumeshatolewa.
Kuna mchambuzi alishamuonya Klopp kuhusu mfumo wake wa ulinzi wa kukabia juu( high line) na sina kumbukumbu vizuri alikuwa ni nani, ila nakumbuka alisema "endapo Liver itandelea na mfumo wa high line,itegemee kufungwa Goli nyingi", Kwa hiyo tatizo litabaki kwenye mfumo wa ulinzi anaotumia Klopp Kwa sasa.Mkuu andrian anatakiwa aondolewe haraka sana tusajiri golia mwingine bila hivyo huu msimu tutawashangaza wengi Maana muda wote mpira tunao sisi lakini ubao unasoma tumefungwa 7.
Mkuu hilo liko wazi kabisa andrian nikioja