Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hello
FB_IMG_16018420874232960.jpeg
 
Huyu demu miyeyusho. Kwenye gheto la makuti anapigwa bao 7?
 
Ukitoa Salah na Robo .
Hakuna mchezaji mwingine alicheza kitu cha maana kikaoneka wachezaji hawana morali hata kidogo upuuzi .

Firminho ndio kaisha kabisaa hana jipya

Gomez ndo kakumbwa sijui na jini mahaba

Adrian king Ngwaba alituambia ni bora ya Karius ×100 nimeamini leo aise.

Nashindwa kuwalaumu sana misimu mi 3 mmepiga mpira wa nguvu sna na kikosi kilikuwa finyu all in all mpira una maajabu yake ukinaswa ndio hivyo tena mara wiki mara 6 mara 5 za city
 
Ukitoa Salah na Robo .
Hakuna mchezaji mwingine alicheza kitu cha maana kikaoneka wachezaji hawana morali hata kidogo upuuzi .

Firminho ndio kaisha kabisaa hana jipya

Gomez ndo kakumbwa sijui na jini mahaba

Adrian king Ngwaba alituambia ni bora ya Karius ×100 nimeamini leo aise.
Kazi kazi ndugu..

Hii ndio EPL matokeo ya mfukoni hayapo..

Uimara wetu hua ni kushinda mpira pale tunavyonyang'anywa mpira pap na kuanza mashambulizi...

Villa hawakupaki basi mwanzo mwisho wametufauata ndio makosa yote yale tukapigika..

Villa hawakuogopa kujirisk na imewalipa vyema...

When you dont win the second ball we are done... Winning the second ball is our main strength..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom