Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Limeshapatikana 😅😅Mmekoswa la 7
Nacheka lakini naogopaaaa
Limeshapatikana 😅😅Mmekoswa la 7
Una roho ngumu kama Paka7
Zinarudi hizi hata wasiwasi sina







Tumewapitaaa 😆😆😆😆Hebu acheni kutuiga basi
Yaaaani sisi tufungwe 4-1 HT na nyie mtugeze mfungwe 4-1 HT???
Jifunzeni ubunifu tafadhali
Asa ole wenu mfungwe sita kama sisi!!
Tumekufa kifo cha mendeKmmk wanaua
Hahaha tusi kubwa sana iliAston Vila anakula tunda kimasihara huku