Hii ndio hali halisi ya timu yetu kwa sasa,hata mechi tulizoshinda nilishawahi sema hapa, tumeshinda kibahati na wala si kutokana na uimara wa timu.Tuendelee kujifariji tu ila msimu huu hatuna chetu.
Hivi wanajamvi kwanini msinichangia nauli nikampe za chembe huyu kipa wetu pazia
Athari za homa ya Corona katika team LFC sio ya kufungwa hivyo
Hujui kinachoendelea hapaMbona tafrani, Kwani pana nini hapa?
Halafu ujue tu nimekumiss!
HawapiMarehemu alikuwa mcha mungu
Leo mtambebesha lawama sana Goli kipa, lakini amini nakuambia hata kama angekuwepo Allison kipigo kingekuwa palepale. Timu inakosa ubunifu brother, tunacheza mpira wa taratibu Sana pasi zisizo na malengo, Wapambanaji wa timu wamebaki wawili tu Mane na Salah, wachezaji kama Wijnaldum na Firmino wapo uwanjani kujaza nafasi tu.Kwa namna hiyo tegemea kila mechi kwetu itakuwa ngumu.Mkuu kama umeangalia mpira liverpool hajazidiwa hata kidogo muda wote liverpool ndio wenye mpira,ball possession Liverpool 69 kwa 31.
Tatizo lilikuwa kwa goli kipa maana kila shuti wakilenga goli ni goli.
Ndio maana jamaa anasema hivyo yaani unafungwa halafu mpira unacheza wewe.
Kuna mechi unafungwa halafu unazidiwa lakini hiyo mechi imekuwa tofauti kumefungwa lakini muda mwingi mpira wanamiliki liverpool,ndio maana mashabiki wa liverpool walikuwa wanaamini watarudisha maana liverpool wanafika goli kwa Aston villa vizuri tu.
Goli saba ilikuwa unimiss manake hata mie muda ule nimefungwa sita,tena nyumbani nilikumiss 😁
3 games with Alison , three wins with Alusson.
1 game with Adrian, tumebugizwa migoli 7