🤣🤣🤣🤣🤣Aston Vila anakula tunda kimasihara huku
🤣🤣🤣🤣🤣Aston Vila anakula tunda kimasihara huku
Kifo hicho mfe kimakini. Mkifa kizembe Sisi hatutojali ni maiti wala nini shauri yenuTumekufa kifo cha mende
Kuhesabu wameanzia moja au tano?Tuache masikhara 7 nyingi aise
Subiri baada ya mchezo kuna Watu watasema:-
Tumefungwa hajacheza Mane
Tumefungwa hajacheza Henderson
Utadhani wangekuemo wangemsaidia Adrian kudaka
Depal kushinda raha aisee naona Leo majirani zetu wanaupepo mbaya wa kuigana matokeoTumewapitaaa 😆😆😆😆
LivakukuHuu utosi aliopiga Jota nakuhakikishia kwa Adrian tungehesabu
Labda na njaa au mnashinda macho wazi.Hii game tunashinda
Najua ulikuwa huamini unachokiona na sasa umeshaamini