joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,933
- 40,122
Na njaa, leo hakulaliki MTASHINDA MACHO WAZI usiku kucha.Hii mechi tunashinda
Na njaa, leo hakulaliki MTASHINDA MACHO WAZI usiku kucha.Hii mechi tunashinda
Hivi hawa watoto wanajua wanacheza na mabingwa kweli?? Wameleta dharau sana kwa kweli
Wanacheza utadhani wako fainali khaaa!!!!!!





Nimerudi kutafuta hii comment
Kwanza ilinichekesha ila sikupata wazo kwamba inaweza kuwa kweli
Poleni majogoo hakuna namna!!!
aibu kubwa sanaNdo navuta trigger hapa nimuendee manina zake huyuHuyu Kipa ni wa kupiga Risasi
Hauna level kaka,wote wachumba tumeona.hakuna level ze2 maybe unitafutie Wewe ligi Mana hakuna mwenye kuniweza hapa England




Tumewapitaaa 😆😆😆😆
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 una moyo,vipi bado huna wasiwasi.Hii game tunashinda hata sina wasiwasi
HahaaaaaaaWamefuata ushauri wangu bhana....ubunifu
Kipindi cha pili wametaga zaidi yetu aseee!

Inabidi ukafanye kazi angaza,au vitaniBado nafasi ya kurudisha haya magoli tunayo
Game ipo open hii
🤣🤣🤣🤣🤣Bado nafasi ya kurudisha haya magoli tunayo
Game ipo open hii
Wametufanya tunavyofanyaga wakati tukashinda...Villa wanawin every ball. We are useless kila kona ya uwanja.