Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Natuma salamu nikiwa KING POWER STADIUM usiku huu ziwafikie Majogoo sijui Tetea mtajua wenyewe..... Nitakachowafanya Jumatatu Mpaka Queen Elizabeth au Waziri wa Uingereza Boris Johnson aingilie kati.....

#COYG
#COYG
 
Kwenye Mpira hakuna Kitu 'Ingekuwa'.
Kashabikie Rede huko.
Hajakataa kadi ila anavhosema ni usisifie kiwango cha timu uku umecheza ukiwa unajua kabisa una advantage kubwa
Huwezi kujisifia uko vizuri uku umecheza na mtu yuko pungufu japo kafanya kosa la hatari, ilo kosa limewapa adhabu wao kwa kuwapa nyie easy game, "(easy game)", so huwez kujisifia kiwango ulichoonesha wakati wa advantage
 
Huyu lazima atue Anfield, Hapo Origi na Shaqir wana uwezekano mkubwa wa kuondoka kabla ya October 5. Backup ya front 3 inakuwa Jota, Sarr na Minamino.
Shakir ni player mzuri sana, kaonesha faida sana mechi anazocheza, ila tatizo lake kubwa ni kuwa sub ya Salah,
Usitegemee na kupiga kelele kuwa Sarr anaenda uku kuna a much consistency Salah

Same with Origi, ni mchezaj mzr na kila akipewa nafasi anajarb kufunga but Klop anaprefer kumchezesha Firmino coz ya kuwalinfg his two best Wingers, i.e Mane na Salah wanakuwa wakali sana wakicheza na Firmino kuriko' wakicheza na Origi, though firmino mwenyewe kama yeye bila hao wawili hana madhara kwa tim pinzani
 
kloopp.jpg
 
Huyu anayejiita Watery ni wazi kuwa Kichwa chake kimejaa Water/Maji badala ya Akili.
Cha ajabu mpaka leo ukimuuliza ni mshabiki wa Timu gani hasemi anajifanya yeye Si Mshabiki wa Mpira na hana Timu.
Lakini haondoki Vibanda Umiza kufatilia Games za Liverpool na kuleta uchambuzi wa Vituko.
 
Huyu anayejiita Watery ni wazi kuwa Kuchwa chake kimejaa Water/Maji badala ya Akili.
Cha ajabu mpaka leo ukimuuliza ni mshabiki wa Timu gani hasemi anajifanya yeye Si Washabiki wa Mpira na hana Timu.
Lakini haondoki Vibanda Umiza kufatilia Games za Liverpool na kuleta uchambuzi wa Vituko.
Mtu akishajiita Watery huyo ni wa kupuuza tu...
 
Natuma salamu nikiwa KING POWER STADIUM usiku huu ziwafikie Majogoo sijui Tetea mtajua wenyewe..... Nitakachowafanya Jumatatu Mpaka Queen Elizabeth au Waziri wa Uingereza Boris Johnson aingilie kati.....

#COYG
#COYG

Tuna wapiga hiyo mechi full time: Liverpool 2 Arsenal 0.

Na hapo ndio itakuwa mwisho wako kupiga kelele humu.

Kuna watu walikuwa kama wewe humu sasa hivi wamekimbia,sitashangaa na wewe jumatatu usiku Baada ya mechi utatoka nduki.

Maana tutakuwa tumewashushia kipigo tayari mko hoi.anfield hapo hamtoki na timu yenu yakutegemea mchezaji mmoja.
 
Huyu anayejiita Watery ni wazi kuwa Kichwa chake kimejaa Water/Maji badala ya Akili.
Cha ajabu mpaka leo ukimuuliza ni mshabiki wa Timu gani hasemi anajifanya yeye Si Mshabiki wa Mpira na hana Timu.
Lakini haondoki Vibanda Umiza kufatilia Games za Liverpool na kuleta uchambuzi wa Vituko.
Niliwahi ona andiko lake akisema anapendelea Liverpool iwe bingwa.

Kuna mzee mmoja hutuchekesha kwamba si mpenzi wa mpira ila akisikia yanga kafungwa roho yake huwa kwatuuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom