ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,426
- 24,148
kwahiyo baba yako ni shoga!!!! ngoja nirudi nyumbani nyama wewe utatafuta pa kulala
umeshashika ukuta? 😂😂😂Sio hata uefa, hata europa hawatakuepo, tunajua wazee wa kulia lia,
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kumsingizia kipa, kama mlijua mbovu kwann mkampanga? Mmezidiwa huo ndio ukweli!!Dah! Kweli Mungu ni mwema
Nilisema mengi kuhusu Adrian nikapingwa lakini leo kawa Exposed.
Nasubiri waliokimbia Uzi muda huu wakija hapa asubuhi au Mchana watakuja na vijisababu vya kutengeneza vingi vya kumtetea.

Huyo VvD uwa ana tabia ya kuepuka 1 on 1 situation ili atunze ‘sifa’ ya ati players never dribble past him!! Uwa anakwepa sana hiyo hali. Goli la pili ni mfano halisi!magoli yote matatu ni uzembe wa mabeki wakiongozwa na untouchable VVD jamaa limeflop limebakia nywele tu, yaani afadhali ya Said Juma Makapu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ombeeni tu hiyo corona ipite... maana vinginevyo ubingwa mtausikia tu...Upo sahihi ndugu tuangalie mazuri ya msimu huu...
When one door is closed(UCL) another is opened(EPL)... Life goes on..
And let be honest any Reds out there will choose EPL over any other crown this season...
YNWA
Corona ni janga mkuu, kocha wa Arsenal na Odoi wa Chelsea tayari wanaumwo, familia ya Mendy wa City wamelazwa yeye mwenyewe anasubiri majibu ya vipimo kama anayo..Leicester nako wachezaji watatu wanaumwo nk...Ombeeni tu hiyo corona ipite... maana vinginevyo ubingwa mtausikia tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona ni janga mkuu, kocha wa Arsenal na Odoi wa Chelsea tayari wanaumwo, familia ya Mendy wa City wamelazwa yeye mwenyewe anasubiri majibu ya vipimo kama anayo..Leicester nako wachezaji watatu wanaumwo nk...
Mungu atuepushe na hili janga huku tukiomba dawa ama kinga ipatikane mapema...
Uhai ni bora kuliko hio EPL ndugu... Mpaka sasa Uingereza kuna wagonjwa zaidi ya 500 na kumi wamesharipotiwa kufa hivyo ikifika mahala kusambaa kwa kasi kama Italy basi na hio ligi kwa kweli isamame tu kupisha vifo na maambukizi zaidi...
YNWA
Ndio makosa yameazia mbele ajabu watu wanalaumu mwisho badala ya mwanzo tusinge ona makosa ya kipa kama washamuliaji wasingekoseakwaio technically kosa sio la Adrian.....? ndio maana nawashangaa sana watu wanaomuona adrian ndio tatizo!
tatizo letu currently ni timu nzima, sio mabeki wala sio front 3
Kama mechi ya watford tungeahinda basi nahii tungeshinda kweli kama unavyosemamimi kwa upande wangu namuona Adrian ndio tatizo licha ya liver kukosa magoli mengi ....balaa alilianzisha yeye kutoa boko na kusababisha goli muda ambao hata wapinzani walikua tayari wameshakubali kushindwa..baada ya kupata lile goli A.M walipata morale, walipata matumaini..huku wachezaji wa liver wakikata tamaa ya kushinda..mimi nina imani kama Alison.B angekuwepo liver angeshinda ile game.