Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Kabisa ndugu 35 shots on target na kupata goli mbili ni tatizo aisee....
Anyway let's wrap and get the most sort trophy by the Reds for the past few decades...
Angalau we won't finish empty this season..
YNWA
Kuna concerns huwa nazigusia sana hapa ambazo ukurudia posts zangu za game baada ya Watford utaziona nyingi tu.
Lakini huwa hazieleweki na zinaonekana zinaleta utata kwasababu ninawagusa 'untouchable' wa Liverpool.
Moja ya msimamo wangu Mkubwa ni kwamba Front 3 yetu imekuwa ya kawaida tofauti na last 3 seasons, Sio ile ambayo ilikuwa inatisha Barani Ulaya bila ya kujali kwenye Midfield kuna nani!
Na nikasema kwasasa Front 3 yetu ni Nzuri sana lakini ni Overrated.
Na ninapoongelea usajili wa Wachezaji bora basi zinatiririka posts za kuwa Liverpool haipaswi kusajili Wachezaji bora coz hawatataka kuwa backups za Front 3.
Na hapa tunatolewa mifano ya Wachezaji wa kusajili ambao wana uhakika wakija Liverpool watakuwa Benchwarmers kama vile Adams, Cantwell na Madisson.
Lakini ukitaja mchezaji Calibre ya Werner utaambiwa hauwezi mfumo wa Klopp.
Nikajiuliza kwani kwani mchezaji yeyote bora atakayesajiliwa Liverpool hatoweza kuanza ahead of Front 3 yetu? Are they unique kiasi ya kwamba no one is better than them?
Nikapata Suluhisho:
Watu hawataki tusajili Wachezaji bora kwasababu hawatakubali kukaa bench, Bali Watu hawataki tusajili Wachezaji bora ambao Watatishia namba za kina Mane, Salah na Firmino.