kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,751
- 12,140
Mama yako au
Mama yako au
Alson alipigwa kama hizo tena team mbovu zaidi makosa yapo kwenye mpira.ADRIAN bana.....Kila ikipigwa IMO kila ikipigwa IMO kazi yake yeye nikuwatolea mpira kambani na kuwapa muanze kati.
sasa afanyeje ikiwa sara anacheza kama chokoADRIAN bana.....Kila ikipigwa IMO kila ikipigwa IMO kazi yake yeye nikuwatolea mpira kambani na kuwapa muanze kati.
Sisi tuna UEFA 6 na tayari tuna epl mkononi,nyie mna nini
Mimi binafsi ninaendelea kuwa upande wa Adrian, niliona save moja alifanya ya kupangua kwa mkono nikakukumbuka. Tuliwahi kumjadili kipindi fulani hivi.
Adrian tulimsajili aje awe kipa namba 2, alipigiwa simu akiwa nyumbani, hana timu. Niliangalia performance yake ya msimu mzima na ukichukulia tulikomtoa na tunachomlipa, ninaamini amevuka matarajiyo.
Kwa level Liverpool ilikofikia, siyo timu ya kwenda kutafuta wachezaji wasio na timu kuja kuwa backups.
Hiki ndicho pia umekuwa ukikiandika kuhusu watu wanasema tusisajili world class players eti watakaa benchi. Tunahitaji kuwa na kikosi chenye quality benchi.



wakajua kuna pique nyumaPumbavuuuuuu ....walijifanya wanafunguka ...dhis idhi anifilidi ....bwuuuuaaahahahahahaha
Mara paaap Na epl hambebi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jurgen Klopp believes Atletico Madrid should play “proper football” instead of relying on counterattacks after they eliminated his Liverpool team from the Champions League on Wednesday.
I am completely happy with the performance. It’s so difficult to play a side like this,” he told BT Sport .
"I don’t understand with the quality they have the football they play. They could play proper football but they stand deep and have counterattacks.
"We accept it of course but it doesn’t feel right tonight. I realise I am a really bad loser, especially when the boys put such an effort in against world class players on the other side who defend with two rows of four.
"We know in the last two years we had some lucky moments in the Champions League, you have to, to reach two finals, but today it was everything was against us in the decisive moments."
He added: "For the score to go 2-1 was not cool, it was a blow but it's not a big problem. The second goal was a bigger problem.
"After the second goal the legs were a bit tired. Everything that looked really natural in the first 90 minutes became a bit stiff. The crosses did not have the same quality We wanted the first time crosses like for the first goal, which was brilliant and the boys forget to do that.”
Lakini geuka upigwe na mudy EPL KOLONA IYOSisi tuna UEFA 6 na tayari tuna epl mkononi,nyie mna nini
Anord anapost anaimba taarabu kama FeisalManeno yenu yaliwaponza kenge nyie
This is anfield ,,kumbe utoporo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo niliwapenda msimu huu fainal inawahusu piaHao jamaa kwenye kupaki basi Mourinho akasome.
The hardest test waliyowahi kupitia ni ile ya Allianz Arena dhidi ya Bayern but still walitoboa.
Kwa Atmosphere hii waliyonayo they are going to the final.
Sent using Jamii Forums mobile app
kauze papa au nguva ulipeDah huu ni upuuzi kiwango cha Flyovers huyu shitty Goalkeeper
Leo sitaki mazo na mtu ata kazini nadoji jana nimebet msimbazi na watu 5 nadaiwa 50k Dah!![]()
Lakini geuka upigwe na mudy EPL KOLONA IYO
Sent using Jamii Forums mobile app
Upambe upuuzi huu tunauita.
hivi nyinyi watu kwanini mna roho mbaya na ya uonevu kiasi hicho???Of course sina shida na Adrian kwa game ya Jana coz nilikwisha uona uwezo wake since mwanzo wa msimu that's why ninakosoa kiujumla na sio only one game.
But hiyo paragraph yako ya mwisho![]()
![]()
Sikuwahi kuwazia hata siku moja tungemaliza ligi bila kufungwa, me kinachonishangaza ni kwa nini tangu tumetoka winter break tumepoteana wakati wenzetu wameimarika. Hata game ambazo tumeshinda basi ni kwa tabu sana. Na trend ikiwa hivihivi basi ni majanga na aibu. Wachezaji walorudi break na kiwango chao ni Allison na Gomez tu, hii front 3 wala siwaelewi.
Sent using Jamii Forums mobile app