Happycuit
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 646
- 542
jamani mwafrika ni mtu mgumu sana... yaani Ighalo kaleta virusi katika mabegi yake lakini yeye ni negative hahahahaYote haya kayataka Arteta
Sent using Jamii Forums mobile app
jamani mwafrika ni mtu mgumu sana... yaani Ighalo kaleta virusi katika mabegi yake lakini yeye ni negative hahahahaYote haya kayataka Arteta
Ni kweli.Waliocheza vyema wameshinda 3 sie 2




Hii issues ya Corona imesababishwa tuchelewe kutangazwa mabingwa mwezi MarchEPL itarejea mwezi wa 4
Lakini bora Corona ibane zaidi Spain, Ujerumani na Ufaransa ili CL ifutwe kabisa tuanze upya![]()
![]()
Korona imeleta majanga kwenye burudani, Mechi zote za UEFA, EFL, EPL, Serie A na La liga zahairishwa hadi April 4. Nani ajuaye baada ya hapo tutasikia Ligi imesitishwa na Serikali ili kutoa fursa kwa serikali kupambana na maambukizi ya Korona















Hahaha Sema mulipanga msimu huu mubebe eufa na EPL kitu ambacho ni kichekesho hahaha ..In everything in life give thanks, because some todays disappointment can turn to be blessings in the near future...
It's all about perception, whining what went wrong jana won't make us better rather than improving on what failed to win us the game and improving our weak bench...
We lost to Real and came back the next season with solutions to what failed us... Now we go back to the drawing board...
YNWA
Sasa ilikuwaje wakafungwa wakati waliupiga mwingi..Hakika vijana walipambana kadri wawezavyo kabla ya ile mistake ya Adrian na pale mbele nako kutokua clinical...
Mkicheza mpira ule na Kun awe pale kati naamini atatoka na hat trick safi kabisa...
YNWA
Kwa izo Shot on Target naweza kusema Oblack ni balaa nyingine ..angekuwepo Leno, au Degea wangechezea saba..Acheni uongo bwana watu wa liver mbona mnakua hvyo? Hzo takwim huwa mnagaiana pale anfield au huwa mnazitoa wapView attachment 1385636
Sent from my iPhone using JamiiForums
Adriana alikuwa na stress baad ya kufungwa goli la kizembe na Willian wa Chelsea..uko sahihi, mimi pia sisemi Adrian hajafanya kosa, ila ninachosema ni kwamba sio sahihi kumtwisha zigo lote yeye peke yake!
alikuepo Ali mechi na westham, tukaruhusu goli 2, ikaja kwa watford 3, ila leo kosa la Adrian tena nje ya muda wa kawaida ndio iwe kesi? hapana!
mimi sio muumini wa ku-single out mchezaji mmoja kwa udhaifu wa timu nzima!,,,, Stev mwenyewe alitunyima ubingwa kwa kuslip, iwe Adrian leo?.
All in all, msimu huu kwangu umekua bora sana kuliko misimu yote niliyowahi kuishuhudia liver, Ep inarudi nyumbani........ tumechekwa sana!![]()


Ufanane na nani sasa ..kwa iyo unataka na sisi tufungwe kama nyietupo pamoja kopites hadi pumzi zitapochukuliwa, jambo la msingi ni kutoumizwa sana na huu upepo hasa kwa maneno ya wapinzani. wanatamani tufanane nao
Sent using Jamii Forums mobile app




Cheltako baba akomtakoma,
sasa mnaelekea mwaka wa 31 hahahaha mpaka mfikishe 50 kama cheltako
Sent using Jamii Forums mobile app