kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
mapaka ndio tushafika hapaKipa katugharimu sana,dah Mapaka yatajaa humu leo
Shida sio kufunga maana kama ni hivyo tayar tulikuwa tushaongoza ila kipa ndo kachoma goli mbili za kizembe kabisa
mngefunga nyingi zaidiShida sio kufunga maana kama ni hivyo tayar tulikuwa tushaongoza ila kipa ndo kachoma goli mbili za kizembe kabisa
AdrianNilisema mara nyingi sana maneno haya lakini nilipingwa kwa kigezo cha kuwa Adrian katupatia Uropa.
Yani hii Criteria ya kupima uwezo wa mchezaji kwasababu tu Timu imeshinda Kombe utadhani huyo mchezaji hilo kombe alikwenda pekeyake uwanjani na kulileta Klabuni imewamislead wengi sana.
Leo atasingizia CoronaBaada ya game ya kwanza Klopp alijitetea oh atl wana mpira mbovu njoeni anfield tuwaonyeshe nguvu ya uwanja wetu blah blah kibao El Cholo akauchuna tu.View attachment 1384995
Acha kumdharirisha kwa hilo Bwege.Adrian bora hata ya Manula
We gave away the game cheaply
Leading 2-0, and keeper making hush decisions
Maybe we deserve to be out
Ili uweze kushinda uefa lazima uwe na wachezaji wenye uwezo sio mtu kama adrian,lileboko alilolitoa atabadilisha kila kitu .
Ila hiyo itakuwa funzo kwa klopp na kwa team nunua wachezaji wenye uwezo ,iliuweze kushindana.
Sent from my iPhone using JamiiForums

