Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Umeongea ukweli mtupu, hao wanaosema wachezaji wakisajiliwa Liverpool hawataweza mfumo wa Klopp ni wageni kwa huyo kocha, wakumbuke kuwa alipokuwa Borusia Dotmund mbele alikuwa na Lewandowski kushoto Aubameyang upande wa kulia Mario Gotze, Kuna baadhi ya mashabiki wametoka vijijini ndanindani na walipofika mjini wakaanza kujifanya wanajua kuliko waliowakuta

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha uongo Aubemeyang hajacheza na Lewandowk Dotmund. Km si mfuatiliaji wa haya mambo acha kujimwambafy.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yani dah Man City akimtoa Real ndiyo anaelekea kubeba UCL? Coz sioni tena wa kuweza kumstopisha!
Na Pep ameshaikosa EPL basi usongo wake atakufa uwanjani kwenye CL.
 
Kabisa ndugu 35 shots on target na kupata goli mbili ni tatizo aisee....

Anyway let's wrap and get the most sort trophy by the Reds for the past few decades...

Angalau we won't finish empty this season..

YNWA

Hii takwimu ya 35 shots on target umeitoa wap mbona unaongeza chumvi isiyo na msingi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Liverpool wewe ndo ulikuwa na uwakika zaidi wa kufika mbali uefa kutokana na kikosi kilivyokuwa ..wengi tulijua mungefanya maajabu kama Man city walivyobeba baki to baki EPL lakini mumekuja kuwa walezi wa wanna munazingua kinoma..

Uefa msimu uu aitaenda England..

Labda Chelsea tunaeza fanya maajabu..

Bayern 0 - 4 Chelsea..

Ninyi kwa sasa kaeni kwa kutulia..

Pambaneni na EPL maana mikakati bado inaendelea..

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app

Olla nilikuwa muda wote nasubiri comment yako, sijui ulifichwa wapi.

Jana tumekutana na wahuni aisee.
 
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mmpeni....jana liver mmepiga soka haswa, mlikua mnajua mnachotafuta..yaani mlinikabia watu mpaka mwenyewe nikachukia, game mliitawala vizuri sana.

naweza kusema bahati haikua yenu kwani kulikua kuna uwezekano wakupaikana magoli zaidi ya matatu..uwezo wenu ulikua unawatetea kupata ushindi mnono tu. Athletico Madrid alikua ameishiwa na mbinu..mchezaji pekee aliyekua akionekana ni kipa wao tu (hapo ni ndani ya dkk 90 za mchezo).

Baada ya kupata goli la kuongoza, mchezaji mmoja akaja kuwaangusha (kipa wenu Adrian) huyu ndio aliteondoa spirit yote ya ushindi kwa wachezaji na hata mashabiki wa liver..jana mlikosa kipa tu wadau..wala hamna sijui cha foward mbovu au beki mbovu kikosi jana kimepiga kazi haswa kwanzia foward mpaka mabeki wamekaza haswa..ndio maana walipata na goli la kuongoza..kidogo Sala alikua anazingua wengine sijaona mapungufu yao.

Mimi sio shabiki wa liver ila liver bado naipa heshima yake kama timu yenye kikosi bora..kosa la mtu mmoja haliwezi kuifutia heshima timu nzima..Kwa mpira mlioupiga jana mnastahili pongezi japo hamkushinda.

Big up sana liverpool.
 
Ndio tumefungwa tumekubali ndo mpira huwezi kuwa mshindi kila siku cha muhimu Bwana Klopp afanye usajili kuimarisha timu next season. Kilichobaki tukomae tumalize ligi kwa most points records ili ibaki kwenye vitabu vya kumbukumbu. YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In everything in life give thanks, because some todays disappointment can turn to be blessings in the near future...

It's all about perception, whining what went wrong jana won't make us better rather than improving on what failed to win us the game and improving our weak bench...

We lost to Real and came back the next season with solutions to what failed us... Now we go back to the drawing board...

YNWA
 
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mmpeni....jana liver mmepiga soka haswa, mlikua mnajua mnachotafuta..yaani mlinikabia watu mpaka mwenyewe nikachukia, game mliitawala vizuri sana.

naweza kusema bahati haikua yenu kwani kulikua kuna uwezekano wakupaikana magoli zaidi ya matatu..uwezo wenu ulikua unawatetea kupata ushindi mnono tu. Athletico Madrid alikua ameishiwa na mbinu..mchezaji pekee aliyekua akionekana ni kipa wao tu (hapo ni ndani ya dkk 90 za mchezo).

Baada ya kupata goli la kuongoza, mchezaji mmoja akaja kuwaangusha (kipa wenu Adrian) huyu ndio aliteondoa spirit yote ya ushindi kwa wachezaji na hata mashabiki wa liver..jana mlikosa kipa tu wadau..wala hamna sijui cha foward mbovu au beki mbovu kikosi jana kimepiga kazi haswa kwanzia foward mpaka mabeki wamekaza haswa..ndio maana walipata na goli la kuongoza..kidogo Sala alikua anazingua wengine sijaona mapungufu yao.

Mimi sio shabiki wa liver ila liver bado naipa heshima yake kama timu yenye kikosi bora..kosa la mtu mmoja haliwezi kuifutia heshima timu nzima..Kwa mpira mlioupiga jana mnastahili pongezi japo hamkushinda.

Big up sana liverpool.
sawa naona ni team ya bwana ako hii lazima uipende tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
officially natangaza for the rest of the season allegiance yangu ni kwa Pep & Man City wabebe UCL.

Pep akibeba UCL, lazima ataondoka Man City. which will be good news to us in the EPL next season and beyond until our own Klopp leaves in 2024.

ila tunahitaji ku freshen up our squad kwa kweli. we need:
- an attacking midfielder in Eriksen's mould
- a wide man in the shape of Traore (comp. to Salah/Mane)
- a CF in the mould of Harry Kane/Aguero (to challenge Bobby).
 
officially natangaza for the rest of the season allegiance yangu ni kwa Pep & Man City wabebe UCL.

Pep akibeba UCL, lazima ataondoka Man City. which will be good news to us in the EPL next season and beyond until our own Klopp leaves in 2024.

ila tunahitaji ku freshen up our squad kwa kweli. we need:
- an attacking midfielder in Eriksen's mould
- a wide man in the shape of Traore (comp. to Salah/Mane)
- a CF in the mould of Harry Kane/Aguero (to challenge Bobby).

Kwa City UEFA naungana na wewe.

Sababu tu zitatifutiana.
 
Usajili unaohitajika kwa Madirisha Mawili (Summer & Winter) ni:-

SUMMER:
- Midfielder mshambuliaji (Wa kuanza)
- Striker (Wa kuanza)

WINTER:
- GK (Backup)
- CB (Backup au Wakuanza)

Yani wa kusajiliwa? Klopp anajuwa Mani anamfaa
 
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mmpeni....jana liver mmepiga soka haswa, mlikua mnajua mnachotafuta..yaani mlinikabia watu mpaka mwenyewe nikachukia, game mliitawala vizuri sana.

naweza kusema bahati haikua yenu kwani kulikua kuna uwezekano wakupaikana magoli zaidi ya matatu..uwezo wenu ulikua unawatetea kupata ushindi mnono tu. Athletico Madrid alikua ameishiwa na mbinu..mchezaji pekee aliyekua akionekana ni kipa wao tu (hapo ni ndani ya dkk 90 za mchezo).

Baada ya kupata goli la kuongoza, mchezaji mmoja akaja kuwaangusha (kipa wenu Adrian) huyu ndio aliteondoa spirit yote ya ushindi kwa wachezaji na hata mashabiki wa liver..jana mlikosa kipa tu wadau..wala hamna sijui cha foward mbovu au beki mbovu kikosi jana kimepiga kazi haswa kwanzia foward mpaka mabeki wamekaza haswa..ndio maana walipata na goli la kuongoza..kidogo Sala alikua anazingua wengine sijaona mapungufu yao.

Mimi sio shabiki wa liver ila liver bado naipa heshima yake kama timu yenye kikosi bora..kosa la mtu mmoja haliwezi kuifutia heshima timu nzima..Kwa mpira mlioupiga jana mnastahili pongezi japo hamkushinda.

Big up sana liverpool.
👌👍👌👍👍👍👍👍👍Tunashukuru ndugu..

YNWA
 
  • Thanks
Reactions: ywf
officially natangaza for the rest of the season allegiance yangu ni kwa Pep & Man City wabebe UCL.

Pep akibeba UCL, lazima ataondoka Man City. which will be good news to us in the EPL next season and beyond until our own Klopp leaves in 2024.

ila tunahitaji ku freshen up our squad kwa kweli. we need:
- an attacking midfielder in Eriksen's mould
- a wide man in the shape of Traore (comp. to Salah/Mane)
- a CF in the mould of Harry Kane/Aguero (to challenge Bobby).

Mimi sikuzote huwa napendelea kuwa abebe CL yule ambaye alishawahi kubeba! Aliyekuwa hajawahi kubeba asiendelee kubeba.

Ndiyomana nitaumia sana iwapo atabeba City au PSG.

Nikitumia kanuni ya 'The lesser of two evils' basi nitahiari abebe Bayern Munich.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom