uko sahihi, mimi pia sisemi Adrian hajafanya kosa, ila ninachosema ni kwamba sio sahihi kumtwisha zigo lote yeye peke yake!
alikuepo Ali mechi na westham, tukaruhusu goli 2, ikaja kwa watford 3, ila leo kosa la Adrian tena nje ya muda wa kawaida ndio iwe kesi? hapana!
mimi sio muumini wa ku-single out mchezaji mmoja kwa udhaifu wa timu nzima!,,,, Stev mwenyewe alitunyima ubingwa kwa kuslip, iwe Adrian leo?.
All in all, msimu huu kwangu umekua bora sana kuliko misimu yote niliyowahi kuishuhudia liver, Ep inarudi nyumbani........ tumechekwa sana!


