Ntakupa mfano hai,unakumbuka mechi ya man untd na Liverpool!!?origi aliangushwa na mpira ukaendelea Hadi goli likaingia VAR iliporudia iliona lile kosa so pale yalikuwa yanatakiwa MAAMUZI ya refa tu maana video assistant referee ilishaonesha ambacho refa hakukioona lkn refa akakaza akakubali goli.nachoamini kuna mawasiliano ambayo Yule head wa VAR anafanya na referee na referee anao uwezo was kuchukua huo ushauri au kutochukua...MWENYE KUELEWA ZAIDI ATANIREKEBISHAKuna ile VAR ambayo screen inakuwa uwanjani mfano kwenye AFCON, kunapokuwa kuna tukio la mkanganyiko refa hupewa taarifa na wale wa VAR room akaangalie marudio ya tukio husika, hapa refa ndiye mwenye maamuzi ya mwisho.
Lakini kwenye EPL hakuna screen uwanjani ambayo refa ataenda kuangalia marudio ya video hivyo refa husubiri var room wacheki halafu wanamwambia maamuzi.
Ndio maana kwenye ile screen kubwa huwa wanaandika VAR Decision No goal au Goal.
Inamaana hapa VAR ndio inakuwa muamuzi wa mwisho kabisaKuna ile VAR ambayo screen inakuwa uwanjani mfano kwenye AFCON, kunapokuwa kuna tukio la mkanganyiko refa hupewa taarifa na wale wa VAR room akaangalie marudio ya tukio husika, hapa refa ndiye mwenye maamuzi ya mwisho.
Lakini kwenye EPL hakuna screen uwanjani ambayo refa ataenda kuangalia marudio ya video hivyo refa husubiri var room wacheki halafu wanamwambia maamuzi.
Ndio maana kwenye ile screen kubwa huwa wanaandika VAR Decision No goal au Goal.
Mbona nachanganyikiwa kabisa,maana kila jibu hapa naona lina ukweliNtakupa mfano hai,unakumbuka mechi ya man untd na Liverpool!!?origi aliangushwa na mpira ukaendelea Hadi goli likaingia VAR iliporudia iliona lile kosa so pale yalikuwa yanatakiwa MAAMUZI ya refa tu maana video assistant referee ilishaonesha ambacho refa hakukioona lkn refa akakaza akakubali goli.nachoamini kuna mawasiliano ambayo Yule head wa VAR anafanya na referee na referee anao uwezo was kuchukua huo ushauri au kutochukua...MWENYE KUELEWA ZAIDI ATANIREKEBISHA
Inamaana hapa VAR ndio inakuwa muamuzi wa mwisho kabisa
Mechi ya man city na spurs refa alikubali goli la Gabriel Jesus lakini var ilikataa na mechi ikaisha sare, hata ukigoogle how var works utaona wanakuambia var ina uwezo wa ku overturn referee decisionMbona nachanganyikiwa kabisa,maana kila jibu hapa naona lina ukweli
Hili tukio liliamuliwa na var hadi wachambuzi kama Carragher na souness walishindwa kuelewa, refa alikubali goli lakini var nayo iliona kuwa hakukuwa na foul, carragher alisema "var at its best". Hii inaashiria kwamba var ndio ilitoa uamuzi wa mwisho baada ya refa kukubali.Mbona nachanganyikiwa kabisa,maana kila jibu hapa naona lina ukweli
Screen ipo mkuu pale uwanjani...Kuna ile VAR ambayo screen inakuwa uwanjani mfano kwenye AFCON, kunapokuwa kuna tukio la mkanganyiko refa hupewa taarifa na wale wa VAR room akaangalie marudio ya tukio husika, hapa refa ndiye mwenye maamuzi ya mwisho.
Lakini kwenye EPL hakuna screen uwanjani ambayo refa ataenda kuangalia marudio ya video hivyo refa husubiri var room wacheki halafu wanamwambia maamuzi.
Ndio maana kwenye ile screen kubwa huwa wanaandika VAR Decision No goal au Goal.
Yaani tuliwatangulia 2 bila lakini nilikuwa hata siamini kama game itaishaje.
Mechi ya Arsenal vs Crystal palace Refa alimpa yellow card Wilfred Zaha kwa ku dive iliapate Penalty baada ya sekunde chache VAR ikatoa maamuzi ya Penalty kwa Palace na Yellow card ya Zaha ikafutwa.Mechi ya man city na spurs refa alikubali goli la Gabriel Jesus lakini var ilikataa na mechi ikaisha sare, hata ukigoogle how var works utaona wanakuambia var ina uwezo wa ku overturn referee decision
Ni kama hy ya Jesus maamuzi ya refa yalibatilishwaMechi ya Arsenal vs Crystal palace Refa alimpa yellow card Wilfred Zaha kwa ku dive iliapate Penalty baada ya sekunde chache VAR ikatoa maamuzi ya Penalty kwa Palace na Yellow card ya Zaha ikafutwa.
Namaanisha ile ambayo refa anaenda mwenyewe kuangalia marudio ya tukio kama ilivyokuwa world cup na Afcon, iliyopo ni ile inayoandika decision ya var ambayo ipo upande wa juu ya uwanjaScreen ipo mkuu pale uwanjani...
Hii Liverpool inavyochechemea ivi ..mpka desemb tutakuwa tumewaacha mbali sana...hahahahaaaaaaaaaaaa!
just hahahahahaaaaaa!
Ubora wa kipa tunapima ana clean sheet ngap..Swali la msingi halijajibiwa
Kepa ameconcede magoli mangapi?
Alison ameconcede magoli mangapi?


Sasa nani mbuzi ..acha kujipendekeza..Jibu swali we "mbuzi" wa cheltako. Kepa ameconcede goli ngapi na Allison ameconcede goli ngapi?
Bangi ni dawa mkuu.Nlkukataza bangi mkuu
Aaa Liverpool wetu ..wasikupe tabuKila la heri LIVERPOOL FC nikiwa kama Mshabiki wa CHELSEA FC.
Huwezi kuhesabu 1 na 2 kabla ya 0 sababu 0 pia ni namba, so naamini tukishashusha Leicester City na Man City ndipo tutaweza kufukuzana na Liverpool, ingawa bado tunaimarika kidogo kidogo kila siku.
Liverpool unaikubali sana ..achana na Arsenal uko..Kila la kheri Liverpool
VAR aise imekuja kuwa rafiki yenu.Hivi ollachuga yuko wapi muda huu?