Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_6594.JPG
 
Sterling jana ugomvi wake na Gomez kaupeleka hadi team ya Taifa!
Soka ni dakika 90 zikiisha yanakuwa yamepita na FA lzm imuadhibu Sterling kwa kupeleka ugonvi wa teams hadi kambini team ya TaifaView attachment 1260989
Huyo kocha ni kiazi, sasa kama wanauogomvi si awatoe wote, kuna faida gani kumuacha gomez na kumtoa stering,

Mbaya zaid huyo gomez hajamfikia stering hata nusu,
 
Huyo kocha ni kiazi, sasa kama wanauogomvi si awatoe wote, kuna faida gani kumuacha gomez na kumtoa stering,

Mbaya zaid huyo gomez hajamfikia stering hata nusu,
Naunga mkono hoja,

Ubaguzi unawasumbua .....yaani unamtoa stearing mashine kwa ajili ya Gomez ambaye hata namba hana katika timu....upumbavu,
 
Huyo kocha ni kiazi, sasa kama wanauogomvi si awatoe wote, kuna faida gani kumuacha gomez na kumtoa stering,

Mbaya zaid huyo gomez hajamfikia stering hata nusu,
Yaani wewe upo huko tandahimba unataka kutoa hukumu!!!!?DUNIA HAIISHI VICHEKESHO.
HUYO ALIETOA HAYO MAAMUZI NI KWASABABU YUPO AU ALIKUWEPO ENEO LA TUKIO NDIO MAANA KAONA NANI WA KUMPUMZISHA.SASA UNAKURUKUPUKA NA MAMBO YA UBAGUZI SIJUI FLANI HAMZIDI FLANI YANATOKEA WAPI!!?
 
Naunga mkono hoja,

Ubaguzi unawasumbua .....yaani unamtoa stearing mashine kwa ajili ya Gomez ambaye hata namba hana katika timu....upumbavu,
Ukiona hivyo ushahidi uliopo na taratibu zao za adhabu kulingama hali kama hio ni Sterling atulizwe..
 
Wakuu nina swali hapa ambalo limezua ubishi kidogo hapa nilipo,naamini hapa kuna watu wana majibu sahihi.....

Hivi VAR inatoaje maamuzi?

Inatoa maamuzi 'automatic' yaani yenyewe inadetect kama ile goal line technology?kwa kusema direct NO GOAL,au PENALT au RED CARD??

Au waliopo kule chumbani ndio wanaotoa maamuzi baada ya kujiridhisha na tukio lilivyo kwa kuchunguza kwa kina tukio husika,kisha wanamwambia refa hilo ni goli au sio goli,au hiyo ni kadi nyekundu au hiyo sio red card?

na pia mwenye maamuzi ya mwisho ni nani?ambaye kama tukio lina utata anasema lichekiwe na VAR? Ni refa wa kati au wale walio ndani katika VAR?maana kuna muda mwingine unaona tukio lina utata na wachezaji wanamfata refa kwa kumuomba VAR itumike lakini refa anakataa na kandanda linaendelea kupigwa????
 
VAR au VRA kama anavyoita Makonda ni VIDEO ASSISTANT REFEREE, kwahiyo neno assistant tu linajitosheleza ,.mwenye maamuzi ya mwisho ni Refa wa mchezo aliyepo uwanjani, sio automatic that's why inachukua muda kufanya maamuzi, I stand to be corrected
Wakuu nina swali hapa ambalo limezua ubishi kidogo hapa nilipo,naamini hapa kuna watu wana majibu sahihi.....

Hivi VAR inatoaje maamuzi?

Inatoa maamuzi 'automatic' yaani yenyewe inadetect kama ile goal line technology?kwa kusema direct NO GOAL,au PENALT au RED CARD??

Au waliopo kule chumbani ndio wanaotoa maamuzi baada ya kujiridhisha na tukio lilivyo kwa kuchunguza kwa kina tukio husika,kisha wanamwambia refa hilo ni goli au sio goli,au hiyo ni kadi nyekundu au hiyo sio red card?

na pia mwenye maamuzi ya mwisho ni nani?ambaye kama tukio lina utata anasema lichekiwe na VAR? Ni refa wa kati au wale walio ndani katika VAR?maana kuna muda mwingine unaona tukio lina utata na wachezaji wanamfata refa kwa kumuomba VAR itumike lakini refa anakataa na kandanda linaendelea kupigwa????
 
Yaani wewe upo huko tandahimba unataka kutoa hukumu!!!!?DUNIA HAIISHI VICHEKESHO.
HUYO ALIETOA HAYO MAAMUZI NI KWASABABU YUPO AU ALIKUWEPO ENEO LA TUKIO NDIO MAANA KAONA NANI WA KUMPUMZISHA.SASA UNAKURUKUPUKA NA MAMBO YA UBAGUZI SIJUI FLANI HAMZIDI FLANI YANATOKEA WAPI!!?
Huyo chuki tu ndo ipo kichwani. Hana hoja yoyote. Kuhangaika naye ni kujichosha.
 
Wakuu nina swali hapa ambalo limezua ubishi kidogo hapa nilipo,naamini hapa kuna watu wana majibu sahihi.....

Hivi VAR inatoaje maamuzi?

Inatoa maamuzi 'automatic' yaani yenyewe inadetect kama ile goal line technology?kwa kusema direct NO GOAL,au PENALT au RED CARD??

Au waliopo kule chumbani ndio wanaotoa maamuzi baada ya kujiridhisha na tukio lilivyo kwa kuchunguza kwa kina tukio husika,kisha wanamwambia refa hilo ni goli au sio goli,au hiyo ni kadi nyekundu au hiyo sio red card?

na pia mwenye maamuzi ya mwisho ni nani?ambaye kama tukio lina utata anasema lichekiwe na VAR? Ni refa wa kati au wale walio ndani katika VAR?maana kuna muda mwingine unaona tukio lina utata na wachezaji wanamfata refa kwa kumuomba VAR itumike lakini refa anakataa na kandanda linaendelea kupigwa????
Wale waliopo kwenye chumba ndio wanatoa maamuzi yale ambayo refa wa kati na wasaidizi wake hawakuona

Hivyo bado mapungufu yatakuwepo kwa sababu wanaotoa maamuzi ya mwisho ni wale wa kwenye VAR room
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom