Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_6577.JPG
 
Sasa kepa magoli anayofungwa unadhani Allison ndo atabaki salama? Angalia lile goli la Zuyech wa Ajax ..kipa gani angedaka pale ..

Kepa clean sheet 3
Allison clean sheet 0

Kila la kheri Chelsea
Kepa anasaidia mpaka magoli kwa wapinzani. Goli.kipa namba moja kwa bei!
 
Katika hii comment yako Hapo mwishoni umeshaconclude mwenyewe tayari kuwa Gini uwezo mdogo

Siku nitakayosema Messi uwezo wake Mkubwa kuliko Mane Je utasema nimeconclude Kuwa Mane uwezo wake ni Mdogo?

Sijaweka Conclusion hiyo unayosema
 
Nakuhakikishia, muda si mrefu sana Chelsea ataanza kupitia mapito anayoyapitia Arsenal na Manure
Hahaha hii Man u sio timu ya kuipa ushindi kabisa ..leo wako moto kesho wako baridi ...ni bora wachague moja ..kuwa moto kama Chelsea au kuwa baridi kama Arsenal ya ndugu yangu Duly Jr ..najua uko alipo anajilaumu kuwa fans wa arsenal
 
it's still a 2-horse title race in my opinion.
hivi vitoto 2 vinavyoleta mbanano hapa juu vitaanza kutimuliwa vumbi January onwards pampers zao zitakapozidiwa mkojo.

come on you Reds....create that 9-point cushion fast!

20191110_070132.jpg
 
Nakuhakikishia, muda si mrefu sana Chelsea ataanza kupitia mapito anayoyapitia Arsenal na Manure
Kama msimu huu hatujasajili na tuko hivi on fire ..tukisajili itakuwaje? ..sasa hivi timu ina mvuto wachezaji wengi wazuri watataka kuja pale..

Wee Liverpool unaelekea kuchoka wakati vijana wa Chelsea ndo moto unawaka. Huoni tofauti apo?

Hii Liverpool msimu huu itajitaidi taidi lakin msimu ujao khali itakuwa mbaya sana.

Tukianza na beki zenu..karibu wote ni over 26 years... Angalia kwa Chelsea ukimuondoa Azp beki zote zilizobaki ni under 24 years hehehe ..aya sasa njo kwa shati lenu Allison cjui umri wake lakin sio chin ya 27, uyu kidog ataendelea kuwabeba beba maan kipa uwezo wake unaongezeka kadir anavyozeeka ..ila bado ni binge la shati ..Samata kapruvu ilo

Njo mbele apo Mane Salah Firmino ..Karib wote ni over 27/28 uko ..uyu Salah tunampa mwaka mmoja tu lazima aende China ..firmino Brazilian wale tunawajua wanachoka mapema ..Mane kwa mbaaali ataendelea kuwabeba ..ila atachoka mapema maana anatumika sana.

Njo kwa Chelsea apo mbele angalia karibu wote ni under 24 hehehe halafu wako on fire kiasi hiki ..wakifika umri wa akina Salah watakuwa ni balaa...

Yani kiufup ninyi munaendelea kushuka aste aste wakati sisi tunapanda mdog mdog ..sasa hivi hamutanielewa kabisa ..ila mzunguko wa pili ukianza tutaelewana tu...

Kila la kheri Chelsea
 
Kepa ameconced magoli mangapi?

Alison ameconcede magoli mangapi?
Allison kinachom'beba ni ubira wa beki zenu na uzoefu wake ambao ataendelea kukua nao ..

Ila beki zinaanza kumuangusha maana sasa...unashindwa kupata clean sheet adi kwa Genk??? Kwa Man city ndo utaweza kweli?

Achana na kepa sisi hatuna ukuta mgumu ..ila tunaanza kujenga ukuta wa maana ..Tomori apo nyuma ananichafulia balaa Rudger akirud ndo itakuwaje balaa...

Nyie VVd keshaanza kuchoka na hamna backup ya maana.
 
it's still a 2-horse title race in my opinion.
hivi vitoto 2 vinavyoleta mbanano hapa juu vitaanza kutimuliwa vumbi January onwards pampers zao zitakapozidiwa mkojo.

come on you Reds....create that 9-point cushion fast!

View attachment 1259105
Iyo nafasi ya kwanza mpka Desemba mwishoni au Jan apo mwanzon tutakuwa tumeikamata.

Amini kwamba...This is Chelsea
 
forward line yetu imekuwa butu sana mechi kadhaa, na wamekuwa wakipoteza sana nafasi na hilo ndio jambo linanipa wasiwasi mechi yetu ya leo.

kiungo yetu inakuwaga hovyo ikipangwa
Milner, Hendo, Fabihno sasa jumlisha na hali ya forward wetu tunasaka parapanda wenyewe.

Alex Ox- Chamberlain ni kiungo wetu pekee ambaye ana'offer goals threat.
Vile vile kabla hajaumia aliwatungua man city na ile fainali na Real Madrid naamini asingekuwa majeruhi lallana asingecheza na kombe lingetua nyumbani.

Klopp apange apangavyo ila Ox ndio siri ya ushindi leo maana hata city watamwangalia vema hivyo kupunguza pressure kidogo kwa front three
 
Allison kinachom'beba ni ubira wa beki zenu na uzoefu wake ambao ataendelea kukua nao ..

Ila beki zinaanza kumuangusha maana sasa...unashindwa kupata clean sheet adi kwa Genk??? Kwa Man city ndo utaweza kweli?

Achana na kepa sisi hatuna ukuta mgumu ..ila tunaanza kujenga ukuta wa maana ..Tomori apo nyuma ananichafulia balaa Rudger akirud ndo itakuwaje balaa...

Nyie VVd keshaanza kuchoka na hamna backup ya maana.

Swali la msingi halijajibiwa

Kepa ameconcede magoli mangapi?

Alison ameconcede magoli mangapi?
 
Kwa haki kabisa Ginni mnamkosea heshima sana. Kumfananisha Ginni na Captain ni kumwonea kabisa.

Mbona Ginni sio mbaya kama wengine mnavyomwona?


Naanza kumwelewa Malafyale
Gin asipo anza kisha viungo wawe OX.Fab.Keita hawa Man City wanatufunga easy 4-0
Huwezi ukawa na viungo wote wanao jua tu kucheza mpira hawawezi fukuza
Wilj LZM acheze leo,ni lzm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom