Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Stats
IMG-20191110-WA0031.jpeg
 
forward line yetu imekuwa butu sana mechi kadhaa, na wamekuwa wakipoteza sana nafasi na hilo ndio jambo linanipa wasiwasi mechi yetu ya leo.

kiungo yetu inakuwaga hovyo ikipangwa
Milner, Hendo, Fabihno sasa jumlisha na hali ya forward wetu tunasaka parapanda wenyewe.

Alex Ox- Chamberlain ni kiungo wetu pekee ambaye ana'offer goals threat.
Vile vile kabla hajaumia aliwatungua man city na ile fainali na Real Madrid naamini asingekuwa majeruhi lallana asingecheza na kombe lingetua nyumbani.

Klopp apange apangavyo ila Ox ndio siri ya ushindi leo maana hata city watamwangalia vema hivyo kupunguza pressure kidogo kwa front three

Ushindi wetu siri ipo kwenye midfield leo hapo klopp akitujazia wakabaji kama msimu uliopita tunaweza uwawa! Mechi ya leo full backs hazipandi sana so inatakiwa atleast pale kati Keita na OX mmoja wao aanze.

Mechi ya Psg na barcelona away Keita aliperform vizur sana sababu ni aina yake ya uchezaj hautofautiani na hizo team, ila ukijaza wakabaj tu kama milner na hendo ujue shughuli itakuwa nzito
 
it's still a 2-horse title race in my opinion.
hivi vitoto 2 vinavyoleta mbanano hapa juu vitaanza kutimuliwa vumbi January onwards pampers zao zitakapozidiwa mkojo.

come on you Reds....create that 9-point cushion fast!

View attachment 1259105
Leo mnagongwa, nyambafu sana,nahao unaodai kuwa ni watoto wanakuja kuchukua nafasi yako soon,jiandae kisaikolojia.
 
Kabisa ni ngumu sana kwa mwenyeji na mgeni yani kwangu naiona iko 50% kwa 50% hadi sasa hivi, ingawa namtakia LIVERPOOL FC kila la heri.

Pep mwenyewe anajua kabisa anakuja kufungwa ndo maana kaanza mapema ku-play mind game kwa wachezaji wetu na VAR referees ili wasi-keep attention ya foul hasa claiming ya Mane ku-dive
 
Mungu ibariki man city

Ipunguze gepu ili wanaume tusipate shida sana kukaa namba moja
 
Mkuu hiyo mechi mimi hainipi pressure kabisa ,mechi tunashinda hiyo.

Ingekuwa etihad pale sawa ningekuwa na wasiwasi,hao wakijitahidi hapo anfield ni droo.

Man city hawako vizuri ,tuache kukalili.hii mechi ya leo ni muhimu sana sana kwa sisi kushinda,so tutacheza vizuri sana tushinde .
Ova
 
Punguza ramli mkuu,punguza wenge

Game ishaisha hyo Anfield sio mahala sahihi kwa timu yoyote ile duniani tofauti na sisi wenyewe
If the boys can raise their game kama ile mechi ya Vs Barcelona UCL SF pale Anfield basi Pep and crew hana chake...

So guys how do we beat this Pep side loaded with very able mids and forward line?
 
If the boys can raise their game kama ile mechi ya Vs Barcelona UCL SF pale Anfield basi Pep and crew hana chake...

So guys how do we beat this Pep side loaded with very able mids and forward line?

Hakuna kitu kinacho mtesa Pep kama nightmare ya 3-0 down after 20 mnts tulizompiga CL

Leo atmosphere ikiwa high even to hotdog sellers basi game mapema sana tunaondoka na 3pts
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom