Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_6612.JPG
 
Namaanisha ile ambayo refa anaenda mwenyewe kuangalia marudio ya tukio kama ilivyokuwa world cup na Afcon, iliyopo ni ile inayoandika decision ya var ambayo ipo upande wa juu ya uwanja
Si hii ama?
Screenshot_20191113-220836.jpeg
 
Sore loser
3-1
9 points adrift


Kutangulia sio kufika

Nyie historia yenu tunayo

Liverpool inaongozaga tu, linapokuja swala la kuwin title mnatoa macho tu,

Ongozen league, wanaume tunakuja kuchukua epl

Ni swala la muda tu.
 
Ukute hata nguvu za kiume mpaka unywe vidogo, halafu unapokuja kuja humu unajiita mwanaume, vijitu vingine aiseeeee


Kutangulia sio kufika

Nyie historia yenu tunayo

Liverpool inaongozaga tu, linapokuja swala la kuwin title mnatoa macho tu,

Ongozen league, wanaume tunakuja kuchukua epl

Ni swala la muda tu.
 
Ukute hata nguvu za kiume mpaka unywe vidogo, halafu unapokuja kuja humu unajiita mwanaume, vijitu vingine aiseeeee
Sorry mim siwez kusifia ujinga, lazima niwambie tu ,hakuna namna nyingine najua mtafuta comment zangu

Mkuu samahan sana
 
Mechi ya Arsenal vs Crystal palace Refa alimpa yellow card Wilfred Zaha kwa ku dive iliapate Penalty baada ya sekunde chache VAR ikatoa maamuzi ya Penalty kwa Palace na Yellow card ya Zaha ikafutwa.
Mzee kuna vitu unachanganya, VAR sio mwamuzi wa mwisho,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom