Sijawahi kuiona kabisa, na je huwa inatumika vp? Refa huwa anaenda kuona marudio ya tukio?Si hii ama?View attachment 1262518
Sasa utaki???Daaaaaah, aiseeeee
Huu msimu mtashaini kwa mbaali ..maana VAR inawapa support sana..ila msimu ujao kikosi chetu kikishakuwa strong kama chenu ...aise mutajutaa..Kwahyo na pesa zimepitwa na wakati?



Watoto wa Arusha Kama mlizaliwa na bangi mkononiSasa utaki???
Muondoe Kepa apo tafafhali...Wamepata tabu sana Anfield hawa makipa mpaka huruma.
Bravo akiuangalia mpira alopiga Mané
View attachment 1263072View attachment 1263075View attachment 1263076View attachment 1263077
Bangi ni dawa mkuu...Watoto wa Arusha Kama mlizaliwa na bangi mkononi
Porojo hizo!
Kutangulia sio kufika
Nyie historia yenu tunayo
Liverpool inaongozaga tu, linapokuja swala la kuwin title mnatoa macho tu,
Ongozen league, wanaume tunakuja kuchukua epl
Ni swala la muda tu.
3-1 za kubebwa na varPorojo hizo!
Ohh Klopp hawezi shinda final akamnyuka mtu 2-0
Ohh Klopp penalty hawezi shinda na kuchukua ubingwa akanyuka Chelsea kwa penalty
Ohh Pep ana kikosi kipana sana kanyuka 3
Sasa ohh huwa anatangulia,ni porojo za sore loser
Klopp hafanyi makosa mara mbili





We,kaendelee kuwadanganya wenzio wa kubeti tu.3-1 za kubebwa na var
Liverpool mna laana tu, mnatembelea var kupata ushindi ,hamuwez kuwin title kizembe hivo, saizi mnavimba tu na vi match 12 out of 34 ,tulishawazoea sana kuongoza league
Gori la salah offside var ikazima
Gori la kwanza, handball ila var ikazimwa
Harafu mnavimba
![]()
HayaBangi ni dawa mkuu...







